• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

ZINGATIENI MAADILI YA TAALUMA YENU-DKT. MPANGO

Posted on: May 11th, 2023

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Isdor Mpango amewataka Mawakili na Wanasheria kusimamia maadili ya taaluma yao ili waweze kutenda haki.

Ameyasema hayo alipokuwa akifungua mkutano wa mwaka wa chama cha wanasheria Tanganyika, Jijini Arusha.

" Taaluma hii ni kama zilivyo taaluma nyingine hivyo mkishindwa kufuata maadili haki za wananchi zitapotea".

Aidha, amekitaka chama hicho kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote ambao watabainika wamekiuka sheria za taaluma hiyo ili iwe fundisho kwa wengine na haki iweze kupatikana kwa wananchi wote.

Vilevile, amekitaka chama hicho kuendelea kuongeza nguvu za kutoa elimu kwa wananchi kupitia vyombo mbalimbali vya habari kwa kuwa wananchi wengi wanapoteza haki zao kwa kutokufahamu sheria.

Dkt. Mpango amewashauri mawakili kuangalia namna ya kupunguza gharama zakusikiliza mashauri kwa kushirikiana na mahakama ili wananchi waweze kumudu gharama hizo nakupata haki zao.

Amesema Serikali itaendelea kushirikiana na chama hicho na taasisi nyingine za kisheria ili kuhakikisha haki inapatikana maana ni msingi wa amani katika nchi.

Nae, Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damasi Ndumbaro amesema Jamii iliyokosa haki siku zote haina amani, hivyo kazi ya sheria ni kusimamia haki na wanaotafsiri sheria hizo ni wanasheria.

Kwa upande wake, Rais wa chama cha mawakili Tanganyika Prof. Edward Hosea amesema  chama hicho kimeweza kutoa msaada wa kisheria bure kwa wananchi takribani 7307.

Pia, chama hicho kimeongeza ushirikiano na Serikali katika kuishauri Serikali kwenye sheria ambazo zinaitaji maboresho na mchakato wa katiba mpya.

Akitoa salama za ukaribisho Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amesema wanasheria wanafanya kazi kubwa katika maswala ya sheria hasa kwa wananchi.

Mkutano Mkuu wa wanasheria ulianza Mei 8 na utaendelea kwa muda wa wiki nzima huku ukiambatana na semina mbalimbali kwa wanasheria hao.





Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.