• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

BILIONI 2 ZATUMIKA KUBORESHA VITUO VYA AFYA

Posted on: January 5th, 2018

Katika kutekeleza maelekezo ya uboreshaji  na  ukarabati wa vituo vya afya nchini, Mkoa wa Arusha amefanikiwa kuboresha vitua vya afya viwili kwa awamu ya kwanza.

Akitoa taarifa fupi ya maendeleo ya ujenzi wa vituo hivyo,Mganga mkuu wa Mkoa Dr.Vivian Timothy Wonanji, amesema mpaka sasa kwa mkoa wa Arusha zoezi hili linaendelea vizuri na kwakasi kubwa.

Awamu ya kwanza, Mkoa ulipata kiasi cha bilioni 1.4 kwa ujenzi wa vituo viwili vya afya,ambapo ni kituo cha afya cha Nduruma kilipata kiasi cha shilingi milioni 500 kwaajili ya ujenzi na milioni 200 kwaajili ya ununuzi wa vifaa na kituo cha afya cha Kambi ya Simba kimepata milioni 500 kwaajili ya ujenzi na milioni 200 za ununuzi wa vifaa.

Amesema kituo cha fya cha Nduruma kilichopo katika halmashauri ya Arusha kinaendelea na ujenzi wa majengo matano na mpaka sasa yapo katika hatua ya ukamilishaji,majengo hayo yakiwemo wodi ya wazazi na jengo la upasuaji.

Kituo cha pili ni Kambi ya Simba kilichopo katika Wilaya ya Monduli, ambapo mpaka sasa ujenzi unaendelea wa majengo nane yakiwa kwenye hatua ya upauwaji.

Aidha,amesema katika awamu ya pili ya ujenzi wa vituo vya afya, mkoa wa Arusha umeshaanza maandalizi yake kwa uundaji wa kamati mbalimbali zakusimamia shughuli nzima na kiasi cha shilingi bilioni 1.2 zimeshatolewa na benki ya dunia kwa ujenzi wa vituo vya afya 3 .

Wilaya ambazo zimepata fedha hizo ni, Wilaya ya Ngorongoro katika ujenzi wa kituo cha afya cha Sakala, Wilaya ya Monduli kituo cha afya cha Mto wa Mbu na Wilaya ya Longido ujenzi wa kituo cha afya cha Engarenaiobor,ambapo kila kituo kitapatiwa kiasi cha shilingi milioni 400.

Pia, serikali imetoa fedha za ukarabati wa vituo vya afya mkoani Arusha, kikiwemo kituo cha afya cha Murieti,kimepata kiasi cha milioni 700.

Kituo vingine ni kituo cha afya cha Usa liver ambacho kimepata kiasi cha shilingi milioni 700 kwaajili ya ukarabati wa chumba cha upasuaji kwa wakinamama.

Kituo cha afya cha Ololiendeki wilayani Longido nacho kimepata kiasi cha milioni 700 kutoka serikalini.

Dokta Wonanji amesema, mpango huu wa ukarabati wa vituo vya afya kwa mkoa wa Arusha, awamu ya kwanza vituo  vya afya 2 vimeweza kunufaika, na awamu ya pili utakamilishwa kwa ukarabati wa vituo vya afya 6 na kupelekea mpango huu kukarabati vituo vya afya 8 kwa mkoa mzima wa Arusha.

Mpango huu wa ukarabati wa vituo vya afya upo katika awamu mbili,yakwanza ilianza rasmi Septemba,2017 na utakamilika Januari,2018,ambapo awamu ya pili umeanza Januari 2,2018 na utakamilika Aprili,2018.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa