• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

CCM ARUSHA WATUMA SALAMU KWA MHE. RAIS DK. SAMIA SULUHU HASSAN ..

Posted on: February 5th, 2024


Na Elinipa Lupembe 


Viongozi wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, wamemtumia salamu za pongezi na shukurani kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa wamemkabidhi Tuzo ya Heshima kwa Mgeni rasmi na kumuomba awafikishie tuzo hiyo kwa kiongozi huyo.


Akiielezea Tuzo hiyo, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Ndg. Loy Thomas Ole Sabaya amesema kuwa, hiyo ni ishara ya upendo na shukurani kwa kiongozi huyo mkuu wa Chama, kwa uongozi wake mahiri wenye upendo na kujali wananchi wake, uliowezesha kutekeleza Ilani ya Chama kwa vitendo kwa kasi kubwa na matokeo yake yanaonekana wazi katika mkoa wa Arusha.


Amesema kuwa, Mkoa wa Arusha umependelewa sana, Mhe. Rais  licha ya kutekeleza miradi ya takribani Bilioni 818.63 kisekta kwa kipindi kifupi cha miaka mitatu, ameweza kusimamia kufufua uchumi wa mkoa wa Arusha, uchumi ambao ulianda kudidimia kwa miaka michache ya nyuma lakini sasa umeinuka kwa kasi, ukiwanufaisha na kuwaneemesha wananchi wa mkoa huo.


Kila mtu ni shuhuda, Kupitia Filamu ya Royal Tour, Hali ya utalii imeimarika, kumekuwa na ongezeko kubwa la watalii, wanaotembelea vivutio vya utalii katika mkoa wa Arusha kwa kuunganisha misimu yote.

 mwaka mzima kwa kuzingatia kwamba 80% ya shuguli za utalii nchini zinafanyika Arusha, huku uchumi wa mkoa wa Arusha, ukitegemea.


Hakuishia hapo, mheshimiwa Rais, ameufungua mkoa wa Arusha, uwepo wa Mikutano mikubwa ya kitaifa na kimataifa, umewafanya wakazi wa mkoa wa Arusha kuwa bizy muda wote kupikea wageni, huku wakinufaika kwa kujipatia kipato na kupandisha pato la mkoa pia.


"Nichukue fursa hii, kwa niaba ya wananchi wa mkoa wa Arusha, hususani wanaCCM, tunakuomba utufikishie salamu zetu za shukani kwa Mheshimiwa Rais wetu, mwambie Arusha tuko salama, tuko nyuma yake, hatutamuangusha, tunapiga kazi, huku Kazi Inaendelea" Amebainisha Mwenyekiti Ole Sabaya.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa