• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

DUMISHENI AMANI YA NCHI-MAGUFULI

Posted on: April 9th, 2018

Watanzania wote nchini wametakiwa kuendelea kudumisha amani na mshikamano katika maeneo yao ili kukuza maendeleo ya uchumi kwa nchi.

Yamesemwa hayo na Rais wa jamuhuli ya muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli alipohudhuria sherehe za kusimikwa kwa askafu mkuu wa jimbo la Arusha mhashamu Isaac Imani.

Amesema amani ndio kitu pekee kitakachoweza kuleta mshikamano,upendo na maendeleo katika nchi yetu.

Watanzania wote wanapaswa kufahamu kuwa amani ndio kitu wanachotakiwa kukitunza na kukiheshimu,hivyo wasikubali baadhi ya watu wawashawishi kuipoteza amani hiyo.

Serikali itaendelea kushirikiana na viongozi wa dini na madhehebu yote ya hapa nchini katika kudumisha amani na kuleta maendeleo ya nchi kwani serikali haina dini na inahudumia watu wake wote.

Aidha, katika kuendeleza ujenzi wa kanisa jipya la jimbo la Arusha ameaidi kuchangia mifuko 300 ya simenti,pia ametoa zawadi ya Ng’ombe 2 kwa askofu aliyemaliza mda wake  Josephati Luisi Lweburu kama ishara yakumshukuru kwa ushirikiano wake kwa serikali.

Akisisitiza zaidi Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amewataka wananchi wa Arusha waendelee kufuata sheria na taratibu za nchi,hii itasaidia kuepuka migongano ya hapa na pale inayojitokeza mara kwa mara.

Alimshukuru askofu aliyemaliza mda wake wa utumishi askofu Josephati Lweburu kwa ushirikiano wake mkubwa aliouwonyesha kwa uongozi wa mkoa.

Askofu mpya Isaac Amani amesema uongozi ni dhamani inayoitaji mshikamano baina ya wanaoongozwa na wanaoogonza.

Amesema ushirikiano na kusikilizana ndio itasaidia kufanya kazi kwa bidii na kwa umoja.

Aidha, amesema kama nchi tusiruhusu ufa wowote katika nchi yetu bali tukae kwa upendo na amani.

Magufuli alihudhuria sherehe za kusimikwa kwa askofu mkuu wa jimbo la Arusha mhashamu Isaac Amani baada ya aliyekuwa askofu wa jimbo hilo Josephati Lweburu kumaliza mda wake wa utumishi.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa