• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

FAMILIA YA WACHANGIA DAMU HOSPITALI YA MOINT MERU; KUOKOA MAISHA YA WATANZANIA...

Posted on: December 22nd, 2023

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru  imefanya Mkutano wa kwanza na Jumuiya ya wachangiaji wa damu wa kudumu wanaojulikana kama Mount Meru Blood Donation Family iliyoanzishwa Januari 18, 2023 katika hospitali ya Mount Meru.


Akifungua Mkutano huo, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. John V.K Mongella ameeleza kuwa kupitia zoezi la uchangishaji wa damu

Unaoendelea, Mkoa wa Arusha umeweka rekodi wakutokuwa na uhaba wa damu na ameupongeza Uongozi wa Mount Meru kwa ubunifu wa maono yenye tija katika kutafuta suluhisho la tatizo la uhaba wa damu katika hospitali ya Mkoa wa Arusha na Mikoa jirani kwa kuunda Jumuiya ya wachangiaji damu wa kudumu wanaotambulika na hospitali.


Mhe. Mongella amewaasa wanajumuiya hao kuendelea kuhamasisha wananchi wengine kujiunga na familia hiyo ili kuchangia damu ambayo itaenda kuwaokoa Watanzania wengine wenye uhitaji kwani kufanya hivyo ni thawabu kwa Mungu.


"Kuchangia damu ni moyo wa kipekee sana kwasababu damu ni uhai na haipatikani kwa njia nyingine yoyote, hivyo ukitoa uhai kwaajili ya mtu mwingine ni jambo lenye baraka sana kwa Mungu". Amesema.


Akisoma taarifa fupi, Mganga Mfawidhi wa Mount Meru Dkt. Alex Ernest alieleza, dhumuni la kuanzisha Jumuiya hiyo ya wachangiaji wa damu wa hiyari ni kukabiliana na  changamoto zitokanazo na uhaba wa Damu na mazao ya Damu katika hospitali ambapo matumizi ya damu yaliongezeka kufikia chupa 500 kwa mwezi kutoka chupa 350 katika mwaka wa fedha 2020/2021 hali iliyopelekea kuwa na upungufu wa damu na kusababisha ucheleweshwaji wa huduma za matibabu.


Familia hiyo ya Wachangiaji wa Damu wamepewa kadi maalumu za uchangiaji wa damu wa kudumu na watapata kipaumbele kwenye huduma za afya kama vile punguzo kwenye huduma ya malazi kwa wodi binafsi, kupata huduma za haraka za matibabu (fast track services) na kupata huduma za kuongezewa damu pindi watakapokuwa na uhitaji huo na hii ni njia yakuleta hamasa na kuongeza wigo wa uchangiaji wa damu na hadi sasa jumla ya chupa 10781 za damu zimefanikiwa kukusanywa kwa kipindi cha mwaka mmoja toka Mount Meru blood donation family kuanzishwa.


Hata hivyo, baadhi ya wanajumuiya hao wamesema kuwa, lengo kubwa la kujiunga na familia hiyo ni kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha huduma za Afya Nchini na kupunguza gharama kubwa za matibabu pamoja na vifo kwa wananchi.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa