• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

JIJI LA ARUSHA NA ADDIS ABABA KUWEKA MAHUSIANO YA KIUCHUMI

Posted on: August 28th, 2023

Balozi wa Ethiopia Nchini Tanzania Mhe.Shibru Mamo Kedida leo tarehe 28/08/2023 amefanya ziara Mkoani Arusha na kupokelewa na Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasimali Watu Bwana.David F.Lyamongi.

Katika mazungumzo hayo Mhe.Balozi Kedida ameomba Ushirikiano wa Kidugu Kati ya Jiji la Arusha na Jiji la Adis Ababa kutokana na kufanana kwa shughuli zake Kuu zikiwemo uwepo wa Taasisi za Kimataifa pamoja kuhodhi Mikutano mikubwa ya Kimaifa katika Majiji haya mawili Barani Afrika.

Sambamba na hilo,Mhe.Balozi Kedida amesema Ethiopia inaendelea kuimarisha usafiri wa Anga na Nchi ya Tanzania hususan Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro na hivyo kuwataka Wafanyabishara mbalimbali kuendelea kutumia usafiri huo.

Aidha,Mhe.Balozi Kedida amesema Ethiopia inatambua mashirikiano baina Nchi mbili hizi na kuuomba Uongozi wa Mkoa wa Arusha kuendelea kushirikiana kwa karibu na Jamii ya Waethiopia waishio na kufanya  kazi katika Taasisi mbalimbali za Kimataifa na biashara hapa Arusha.

Kwa upande wake,Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasimali Watu Bwana.David F.Lyamongi amemhakikishia Mhe.Balozi Kedida kuwa Serikali ya Mkoa Arusha inatambua Ushirikiano wa Kidugu uliopo kati ya Tanzania na Ethiopia na kuwa Jamii ya Waethiopia waishio Arusha wapo mikono salama na endapo wakiwa na jambo lolote la kuhitaji msaada Ofisi ya Mkuu wa Mkoa iko tayari wakati wowote kuwasaidia.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa