• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA UJENZI SHULE MPYA YA SEKONDARI MOIVO.

Posted on: March 18th, 2024


Na Elinipa Lupembe 


Kamati ya Siasa mkoa wa Arusha, imetembelea na kukagua hali ya mradi wa ujenzi wa shule mpya ya sekondari Moivo kata ya Moivo, shule iliyojengwa kwa gharama ya shilingi milioni 584.2, fedha kutoka Serikali Kuu kupitia miradi ya kuboresha miundombinu ya shule za sekondari nchini (SEQUIP).


Wajumbe wa Kamati hiyo, wametembelea mradi huo, ikiwa ni ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2020 -2025, kwenye halmashauri ya Arusha, wilaya ya Arumeru.


Wajumbe hao licha ya kuridhishwa na utekelezaji wa Ilani ya CCM kupitia mradi huo, wameagiza kukamilisha mambo madogomadogo yaliyosalia, ikiwemo ukamilishaji wa miundombinu ya mifumo kwenye maabara, pamoja na samani kwenye maktaba na maabara za Sayansi na TEHAMA, ili kwa pamoja zianze kufanya kazi.


Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Loy Thomas Sabaya, amemuagiza Mkuu wa wilaya ya Arumeru kupitia mkurugenzi wa Hamashauri ya Arusha, kukamisha mambo yote kabla ya mwisho wa mwezi May 2024, kwa kukamilisha maabara na samani zote za maabara hizo.


Hata hivyo, ameipongeza Serikali kupitia halmashauri kwa ujenzi wa shule hiyo, shule ambayo licha ya kuondoa kero ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kufuata elimu kwenye kata nyingine, imeongeza ari ya watoto kupenda shule na kutimiza azma ya Serikali ya kuhakikisha kila kata inakuwa na shule ya Sekondari ili watoto wanapate elimu kwenye mazingira karibu na nyumbani.


Awali mradi huo wa shule moya umetekelezwa kwa gharama ya shilingi milioni 584.2 ikijumuisha ujenzi wa Jengo la Utawala, vyumba 8 vya madarasa na ofisi, jengo la TEHQMA, Maabara za masomo ya Fizikia, Kemia na Baiolojia, vyoo vya wanafunzi pamoja ja kichomea taka.


#ArushaFursaLukuki




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa