• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MAKAO YA WATOTO YOTE YAWE NA LESENI IFIKAPO DESEMBA 2021

Posted on: July 17th, 2021

Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Dkt. Athumani Kihamia amewataka wamiliki wote wa vituo vya kulelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu wanapata leseni za kutolea huduma hiyo ifikapo Desemba 2021.

Ameyasema hayo alipokuwa akifungua kikao cha wadau na wamiliki wa vituo vya kulele watoto waishio katika mazingira magumu,Jijini Arusha.

Leseni itawasaidia kufanya kazi kwa uhakika na kwa kufuata sheria na taratibu.

Mkoa wa Arusha unajumla ya makao 89 ya watoto waishio katika mazingira magumu na amesema si jambo la kujivunia kwa kuwa na makao mengi ya watoto na hii inaonesha ni kushindwa kwa wazazi kuwajibika ipasavyo.

Kati ya makao hayo ni 36 tu ndio yanafanya vizuri na wapo wanaofanya kazi hiyo kwa wastani na wengine hawaelewi taratibu za kufuata katika kuwahudumia watoto.

Amewataka hao wasio elewa taratibu wajitadhimini kwani suala hilo lipo kisheria hivyo zifuatwe.

Aidha, Dkt. Kihamia ametoa maelekezo ya kufuatwa na wamiliki wa makazi hayo ya watoto, akiwemo kuwapatia bima ya Afya iliyoboreshwa watoto  wote ili kupunguza gharama za matibabu.

Pia, huduma zinazotolewa kwenye vituo hivyo ziwe za kiwango kinachotakiwa, Maafisa ustawi wa Jamii na Maafisa Afya wafanye ukaguzi wa mara kwa mara katika vituo hivyo.

Makao hayo yawe na wataalamu wanaojua kanuni na sheria za makao hayo ili waweze kuzitekeleza kwa urahisi.

Kikao hicho kilikuwa na lengo la kutoa mrejesho wa namna wadau hao wa makao ya watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu wanavyotoa huduma.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa