• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MAKONDA AKABIDHI OFISI NA KUAGA RASMI...

Posted on: July 1st, 2025

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amekabidhi rasmi Ofisi kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.Kenan Laban Kihongosi, hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkoa huo mapema leo Juni 30, 2025.

Akizungumza wakati akimkaribisha Mhe.Kongosi, Ndugu Makonda amempongeza Mhe.Kiongosi kwa kuheshimiwa na kuaminiwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassani na kumuhakikishia kuwa anamkabidhi  wananchi wa Arusha wenye upendo na msikamano pamoja na mkoa huo ukiwa salama.

Katika hotuba yake ya kuaga, Makonda alianza kwa kumshukuru Mungu, na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini na kuongoza Mkoa wa Arusha kwa kipindi cha mwaka mmoja  alichohudumu huku akiwashukuru wananchi wa mkoa kwa upendo na ushirikiano mkubwa waliompa kipindi chote alichofanya kazi mkoani hapo.

Aidha, ameweka wazi kwa namna anavyofahamu uchapakazi wa Mhe. Kihongosi hana mashaka naye na kumtaka kuendelea kuwatumikia wananchi wa Arusha, wananchi ambao wanaupendo mkubwa huku akimsisitiza umuhimu wa ushirikiano na mshikamano kati yake na viongozi wa mkoa huo wakiwememo viongozi wa Chama na Serikali, viongozi wa dini, wadau na wananchi wa ngazi zote.

“Nina imani kuwa Mkuu mpya wa Mkoa, Mhe. Kenan Kihongosi, ataendeleza jitihada zote tulizoanza na kuongeza ubunifu mpya katika kuleta maendeleo ya wananchi wa Arusha, nikuhakikishie wananchi wa Arusha wote ni wajanja na wapenda maendeleo" amesema Makonda


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC KIHONGOSI ATEMBELEA OFISI ZA CCM MKOA WA ARUSHA..

    July 02, 2025
  • RC KIHONGOSI AKUTANA NA VIONGOZI WA DINI NA MILA; ASISITIZA KUOMBEA AMANI..

    July 02, 2025
  • RC KIHONGOSI: ARUSHA IWE SEHEMU SALAMA YA UPENDO, AMANI NA MSHIKAMANO...

    July 01, 2025
  • UAPISHO

    July 01, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa