• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MHE RAIS DKT. SAMIA APONGEZWA KWA KUWA KINARA WA MAPAMBANO YA MABADILIKO YA TABIA NCHI

Posted on: September 1st, 2024


Ofisi ya Makamu wa Rais 



Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mha. Cyprian Luhemeja amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa mapambano ya mabadiliko ya Tabianchi.



Ameyasema hayo, wakati wa ziara ya kikazi ya Wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa 35 wa Kamati ya Kudumu ya Fedha ya Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi (UNFCCC), walipokiwa wakiangalia Mradi wa kuboresha Usimamizi wa Malisho katika Hifadhi ya Jamii ya Wanyamapori ya Randilen, Monduli mkoani Arusha. 



Ameongeza kuwa mabadiliko ya Tabianchi ni vita ambayo kila mtu anapaswa kupigana ndio maana kwa mara ya kwanza Tanzania inaandaa Mkutano Mkubwa wa UNFCCC utakaoanza kesho Septemba 2,2024 mkoani Arusha wenye lengo la kujadili hatua ya kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi.



”Ajenda kubwa ya mwaka huu kwenye mkutano huo ni mabadiliko ya Tabianchi na jinsia na kimsingi wanaangalia namna ya kuokoa mama na mtoto kwa kuwa mabadiliko ya tabianchi wao ndio wanaoathirika zaidi sababu maji yakipotea wao ndio wanapata taabu na chakula nyumbani mama ndiye muandaaji.



"Dunia imekutana Arusha, huu ni mkutano wa siku sita na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango, anatarajiwa kuwa  mgeni rasmi katika mkutano huo, hivyo ni bahati kubwa kwa nchi kuandaa mkutano huu,” amesema Mhe. Luhemeja.



Naye Mshauri wa Rais,kwenye masuala ya mabadiliko ya Tabianchi na Mazingira Dkt. Richard Muyungi amesema jambo la kwanza ni kumshukuru Mhe. Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kukubali mkutano huu kufanyika Tanzania.



"Mataifa zaidi ya 50 yapo Tanzania na kikubwa wamefurahi kuona juhudi ya serikali inavyofanya katika kukabilina na mabadiliko ya tabianchi na imekuwa faraja kwa Watanzania kuona namna Randilen ilivyojitahidi katika kulinda na kuhifadhi mazingira,” amesema Dkt. Muyungi.



Amesisitiza kuwa pamoja na changamoto lakini Taifa limekuwa likiweka jitihada mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi hasa kina mama namna ambavyo wamekuwa mstari wa mbele katika Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira.



Naye Mshauri Mkuu wa Mabadiliko ya Tabianchi katika Umoja wa Ulaya Bi. Apollonia Miola kutoka Italia amesema amefurahishwa kuona serikali ya Tanzania inavyoshirikisha jamii katika kulinda na kutunza Mazingira kupitia miradi mbalimbali.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa