• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MIAKA 6O YA UHURU IWE CHACHU YA MABADILIKO KWENU

Posted on: December 4th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongella amevitaka vikundi vya wakulima na wafugaji Mkoa wa Arusha (MVIWAARUSHA) kubadili vikundi hivyo viwe vya nguvu ya kiuchumi.

Ushauri huo ameutoa alipokuwa akifungua mkutano Mkuu wa 9 wa mtandao wa vikundi vya wakulima na wafugaji wa Mkoa wa Arusha,katika chuo cha misitu.

Amesema vikundi hivyo vikiwa na nguvu ya kiuchumi itasaidia hata uchumi wa mtu mmoja mmoja kuimarika, kisha wakifamilia na nchi kwa ujumla.

Wakiwa wanasherekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania bara na miaka 20 ya umoja huo wajitaidia kubadili mitazamo ya namna ya uwendeshaji wa vikundi hivyo ili viweze kuleta tija.

Amewashauri wakulima kubadili namna ya uuzaji mazao yao kwa kuyachakata kwanza na kuyaweka katika vifungashio vizuri vyenye lebo na kukuza nje ya nchi badala ya kuyauza yanapotoka shambani tu.

Vile vile wafugaji wameshauriwa kufuga kisasa hasa kwa kuanzishi Viwanda vidogovidogo kupitia vikundi vyao vitakavyoweza kuchakata mazao yatokanayo na mifugo na kuyauza.

Mongella amesisitiza kundi la wakulima na wafugaji ni kundi linalotegemewa sana katika kuleta mchango mkubwa wa maendeleo hivyo wanatakiwa kubadilika na kufanya kazi zao kisasa zaidi.

Mwenyekiti wa MVIWAARUSHA bwana John Mayo amesema mtandao huo wa wakulima na wafugaji unavikundi takribani 457 vyenye wanachama 11,089 kutoka katika Halmashauri ya Karatu, Arusha, Meru, Monduli, Longido na Ngorongoro.

Amesema mtandao huo umewasaidia wakulima wengi kufanya kazi kwa amani na mashikamano.

Nae, Mratibu wa MVIWAARUSHA bwana Richard Masandika amesema mtandao huo umejikita zaidi katika kuwainua wakulima wadogo ambao wanamchango mkubwa katika kuzalisha chakula katika nchi kwa asilimia 75.

Mpaka sasa watu zaidi ya asilimia 60 hadi 65 wamejikita katika shughuli za Kilimo na ufugaji kwa nchi nzima.

MVIWAARUSHA, wamekutana katika mkutano wao wa mwaka kwa lengo la kujengeana uwezo kupitia changamoto walizonazo na pia kuchagua uongozi mpya wa mtandao huo.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa