• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MKUTANO WA KIKANDA WA MATUMIZI BORA YA NISHATI NI FURSA KWA NCHI YA TANZANIA

Posted on: December 4th, 2024

Na Elinipa Lupembe 



Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Mhandisi Felchiesimu Mramba, ameelezwa kuwa, Mkutano wa Kikanda wa Matumizi Bora ya Nishati 2024, unaofanyika kwenye ukumbi wa jengo la PAPU Mkoani kuhaki ni fursa kwa nchi yetu ya Tanzania katika kuhakikisha kunakuwa na matumizi bora ya nishati ambayo yatapelekea kupunguza upotevu wa nishati, kupunguza gharama za matumizi ya nishati, kupunguza hewa ukaa pamoja na kutunza mazingira. 



Mhandisi Mramba, amesema hayo wakati akizungumza muda mfupi kabla ya kumkaribisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko @biteko kufungua Mkutano wa  mapema leo Desemba 04, 2024.



Katibu huyo ameeleza lengo la Mkutano huo ni kujenga uelewa wa pamoja na kubadilishana uzoefu katika masuala ya matumizi bora ya Nishati baina ya wadau kutoka Ukanda wa Nchi za Afrika Mashariki na zile  Nchi za Kusini mwa AfAfri (SADC).



Aidha, amebainisha kuwa katika mkutano huo, washiriki watapata wasaa wa kujadili changamoto na fursa mbalimbali za masuala ya matumizi bora ya Nishati pamoja na fursa za matumizi bora ya Nishati kikanda 



"Mkutano huu umelenga pia kutafuta njia bora ya nchi wanachama wa Jumuiya zote mbili kushirikiana kwenye uandaaji wa viwango na miongozo ya pamoja ya matumizi bora ya nishati, jambo ni fursa kwa nchi yetu ya Tanzania kutokana na umuhimu wake". Amefafanua Mhandisi Mramba.



Awali Kauli Mbiu ya Mkutano ni “Kuchagiza Matumizi Bora ya Nishati kwa Maendeleo Endelevu”.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa