• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC KIMANTA AZINDUA MASHINE ZA KUVUNA

Posted on: August 6th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Idd Hassan Kimanta amemwagiza kamishina msaidizi wa magereza mkoa wa Arusha Willison Mandarasa kuhakikisha wanaongeza kiwango cha uzalisha wa chakula kwa ajili ya matumizi ya magereza.

Ameyasema haya alipokuwa akizindua rasmi mitambo ya mashine ya kuvunia mazao mbalimbali yakiwemo mahindi katika ofisi za magereza jijini Arusha.

Mashine hizo zitasaidia kuongeza kasi ya uvunaji na kupunguza muda wa uvunaji.

Aidha, ameshauri kuwa wakitumia vizuri mashine hizo wanauwezo wa kuvuna magunia 20 hadi 25 kwa heka badala ya maguni 18 ya awali.

Kutokana na matumizi hayo ya mashine amesema, sasa magereza wanauwezo wa kujitegemea katika chakula kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na mwanzo.

Akitoa taarifa fupi ya mashine hizo kamishina msaidizi  wa magereza mkoa wa Arusha Willison Mandarasa, amesema jumla ya mashine hizo ni 3 zilizogharimu kiasi cha fedha million 347 ambazo zitapelekwa pia kwenye maeneo mengine.

Amesema mpaka sasa magereza mkoa wa Arusha una ekari 350 kwa ajili ya kilimo cha Mahindi,ekari 301 za Maharagwe na ekari 10 za kilimo cha mbogamboga.

Nae, kamishina msaidizi magereza Andrew Ntamamilo,amemshukuru kamishina wa magereza Suelemani Mzee kwa kuweza kutimiza azma ya Rais John Pombe Magufuli ya kuhakikisha magereza inajitegemea kwa chakula.

Amesema kwa mashine hizo kuletwa zitasaidia kuondoa changamoto ya uhaba wa watu katika kipindi cha mavuno kwani watakaoitajika kwa sasa ni wachache sana na mashine hizo zitafanya kazi kwa kiwango kikubwa.

Magereza imetekeleza azma ya kujitegemea katika chakula kama maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari John Pombe Magufuli ya kuhakikisha magereza nchi nzima inajitegeme katika chakula.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa