• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA AAGIZA POLISI  KUTOSIMAMISHA MAGARI YA UTALII BARABARANI

Posted on: June 8th, 2024

 Na Elinipa Lupembe

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amemuagiza Mkuu wa Polisi wa Usalama Barabarani Mkoani humo, kutokuyakamata magari ya Utalii yakiwa yamebeba wageni, badala yake ukaguzi wa magari hayo ufanyike kabla ya kupakia watalii na ufanyike kwenye mipaka na viwanja vya ndege vinavyotumiwa na watalii.

Mhe.Makonda ametaoa maagizo hayo wakati akizungumza waandishi wa habari  kwenye Viwanja vya Magereza Kisongo, wakati wa maonesho ya kimataifa ya Utalii ya Karibu - Kili Fair 2024, Juni 08, 2024, maonesho yaliyojumuisha makampuni zaidi ya 460 ya kimataifa kutoka kwenye mataifa zaidi ya 50.

Amesisitiza kuwa, nivema Jeshi la Usalama Barabarani kuwa na utaratibu wa kufanya ukaguzi wa magari ya utalii kabla wageni hawajapanda, ili kuruhusu magari hayo kufanya safari zao bila kusimamishwa na kubughudhiwa na Askari wawapo barabarani, na kuagiza kutokusimamisha magari hayo yakiwa yamebeba watalii.

"Kwa kufanya hivyo kutasaidia kutowapotezea muda watalii wawapo njiani suala ambalo litawapa muda zaidi wa kuwepo kwenye hifadhi za utalii na sehemu nyingine, pamoja na kuwaongeza muda wa matumizi ya fedha,bidhaa na huduma nyingine zinazopatikana Arusha na hivyo kuingizia mkoa fedha nyingi zaidi za kigeni".Amesisitiza Mkuu huyo wa Mkoa

Hata hivyo Mhe. Makonda ametoa miezi miwili kwa wamiliki wa Teksi zinazotumika kubeba wageni na watalii wa Mkoa humo kuwa na rangi maalumu za kufanana, kuwarahisishia watalii kuyatambua na kulifahamu gari husika na kwa usalama zaidi kwa wageni wanapoamua kutumia aina hiyo ya usafiri wawapo Arusha.

Awali, amekiri kuendelea kuunga mkono jitihada za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan za kuvitangaza vivutio vya Utalii vinavyopatikana Tanzania pamoja na ukarimu wa Watanzania, huku akitaka kila mwanaArusha kwenye eneo lake la kazi kuonesha ukarimu huo kwa vitendo kila wanapokuwa wanahudumia wageni. @baba_keagan
@ortamisemi
@polisi.tanzania


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa