• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA AKAGUA UKARABATI WA UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID IKIWA NI MAANDALIZI YA MEI MOSI KITAIFA 2024...

Posted on: April 18th, 2024

RC MAKONDA AKAGUA UKARABATI WA UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID IKIWA NI MAANDALIZI YA MEI MOSI KITAIFA 2024.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda, ametembelea na kukagua maendeleo ya marekebisho ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid Mjini Arusha, ikiwa ni maandalizi ya maadhimisho ya siku kuu ya wafanyakazi Duniani, inayotarajiwa kufanyika tarehe 01.05. 2024.

Mgeni wa Heshima katika maadhimisho hayo anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Tumaini Nyamhokya Rais wa Shirikisho la Vyama vya wafanyakazi nchini Tanzania pamoja na Makamu mwenyekiti wake na wakuu wengine wa idara mbalimbali waliambatana na Mhe. Makonda kwenye ukaguzi huo wa maandalizi ya sherehe hizo kubwa kwa wafanyakazi wa sekta mbalimbali.

Hata hiyo, Nyamhokya ameviambia amebqinisha kuwa, maandalizi yanaendelea vyema na kila kamati inafanya kazi yake kikamilifu ili kuhakikisha kuwa sherehe hizo zinakuwa nzuri na za kuvutia.

Amefafanua kuwa, kufanyika kwa shughuli hiyo mkoani Arusha ni fursa pia kwa wakazi wa Arusha na wageni mbalimbali kwani watapata fursa za kuuza bidhaa mbalimbali za vyakula, vinywaji na sehemu za kulala wageni watakaohudhuria maadhimisho hayo kwa mwaka huu ambapo tayari baadhi ya wageni wamekwishaanza kuwasili mkoani hapa.

Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani ni siku ya mshikamano kwa Wafanyakazi wa sekta zote katika kusimamia na kuunga mkono Haki, Wajibu na Dhamana ya wafanyakazi kote ulimwenguni katika mchakato wa kufikia maendeleo endelevu.

#arushafursalukuki

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa