• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA ATEMBELEA MAENEO YALIYOATHIRIKA NA MVUA ZINAZONYESHA JIJINI ARUSHA...

Posted on: April 13th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mheshimiwa Paul Christian Makonda ametembelea maeneo mbalimbali ya Jiji la Arusha yaliyoathirika na maji, yaliyotokana na Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na kuwataka wananchi kuchukua tahadhari wakati wa mvua pamoja na kuhama katika maeneo yenye historia ya kuwa na mikondo ya maji.

Amesema kuwa, kufuatia Utabiri wa Mamlaka ya Hali ya hewa Tanzania, kutakuwa na mvua kubwa zitakazonyesha kwenye mikoa mingi nchini, hivho kila mwananchi anatakiwa kuchukua tahadhari ya mvua hizo ikiwemo maderava wa vyombo vya moto ili kupunguza hasara na watu kupoteza maisha.

"Niwatake watu wanaoishi kwenye maeneo yenye historia ya mikondo ya maji kuchukua tahadhari kubwa kwa kuwa mvua bado zinaendelea kunyesha, lakini zaidi kwa madereva wanaoendesha vyombo vya moto, uwakati wa mvua kubwa ni vema kusubiri na pindi ukiona mvua usivuke na gari wala bodaboda, hii itapunguza madhara yanayoweza kutokea bila sababu za msingi" RC Makonda

Hata hivyo, wananchi wa maeneo hayo wamemuelezea Mkuu wa mkoa huyo namna ujenzi wa  Barabara ya Mianzini kuelekea Timbolo usiokamilika kwa muda mrefu sasa, ujenzi ambao umekuwa kero kwa wananchi hao, hasa msimu wa mvua, kutokana na kuwa barabata hiyi ni asili ya mkondo wa maji suala ambalo linatatiza usafiri na usafirishaji.

Aidha, Wananchi na wafanyabiashara wenye maduka pembezoni mwa barabara hiyo wameiomba Serikali kuharakisha kukamilisha ujenzi wa Barabara hiyo ya Mianzini - Timbolo na kuomba kuangalia namna ya kuongezwa kwa vipenyo kwenye  Mto Ngarenaro na daraja la Mula ili kuruhusu upitishaji wa maji mengi kwa wakati mmoja, kwa kuwa sasa madaraja hayo yanazidiwa na wingi wa maji.

"Tunaiomba Serikali kuweka mifereji pembezoni mwa barabara zote, ili kudhibiti uharibifu wa barabara wakati mvua kubwa zinaponyesha, barabara nyingi hazina mifereji pembezoni, jambo ambalo linasababisha maji kupita juu ya barabara na mengine kuingia kwenye makazi ya watu, sasa licha ya kuharibu barabara yanaharibu nyumba, mali za watu na kusababisha hasara kubwa na wakati mwingine vifo vya watu, tunakuomba Mheshimiwa Mkuu wa mkoa kuangalia upya suala hili" Wananchi


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa