• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA AWAKUTANISHA MAWAZIRI WA FEDHA NA UJENZI, BARABARA ZA ARUSHA KUPATIWA UFUMBUZI.

Posted on: January 6th, 2025

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba na Waziri wa Ujenzi Mhe. Abdallah Ulega wamefika Mkoani Arusha mapema leo Januari 06, 2024 na kuhudhuria Kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Arusha ambapo wameahidi kutekeleza kikamilifu maombi ya Mkuu wa Mkoa Mhe. Paul Christian Makonda ya kuzijenga na kukarabati barabara za Mkoa wa Arusha ili kuchagiza uchumi wa Mkoa na kukuza sekta ya Utalii mkoani hapa.



Akiwakaribisha Mawaziri hao walioambatana na Watendaji wakuu wa Wizara zao akiwemo Katibu Mkuu wa Ujenzi Balozi Mhandisi Aisha Amour, Mhe. Makonda ameeleza kuhusu ubovu wa barabara za Arusha, akiwaomba Mawaziri hao kuharakisha ujenzi na maboresho yake kutokana na umuhimu wa barabara hizo katika kukuza uchumi na utalii wa Arusha pamoja na uthabiti kuelekea kwenye msimu wa michuano ya Kandanda ya barani Afrika (AFCON) inayotarajiwa kuchezwa Arusha, Dar Es salaam, Zanzibar kwa kushirikiana na nchi za Kenya na Uganda mnamo 2027.



Katika Maelezo yake Waziri Mwigulu ameahidi Wizara yake kuharakisha utoaji wa fedha za ujenzi na kuziweka baadhi ya barabara kwenye Bajeti ijayo ya serikali kuu huku Mhe. Ulega akiagiza kuanza mara moja kwa upembuzi wa baadhi ya barabara pamoja na kufungwa taa zinazotumia nishati jua, akisema serikali pia inatanua barabara kuu ya Bagamoyo- Arusha ili kuondoa msongamano kwa wageni na wenyeji wanaofika Arusha kutokea Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro na wote wanaotumia barabara hiyo inayounganisha nchi za jirani pamoja na mikoa ya Kaskazini na Mashariki mwa Tanzania.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa