• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA "KWA MAOMBI AU KWA DAWA NIA YANGU KILA MTU APONE"..

Posted on: June 28th, 2024

RC MAKONDA "KWA MAOMBI AU KWA DAWA NIA YANGU KILA MTU APONE"


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ameweka wazi ni yake kwa wagonjwa kuwa, matamanio yake makubwa ni kuhakikisha kila mmoja anayefika anayekanyaga miguu yake kwenye Uwanja vya Sheikh Amri Abeid kwa ajili ya kupata huduma za matibabu anapona, iwe kwa maombi au kwa matibabu ili baadaye kila mwananchi awe na afya njema ya kuchangia uchumi wa familia na Taifa.


Mhe. Paul Christian Makonda ametoa yaliyoujaza moyo wake wakati akizungumza na maelfu ya wananchi wanaoendelea kumiminika kwenye Kliniki ya Madaktari Bingwa na Wabobezi na kusisitiza kuwa hana nia nyingine yeyote tofauti na kuona kila mwananchi mwenye changamoto ya ugonjwa natibiwa na kupona na  anakuwa na afya njema.


"Lengo letu sio idadi ya watu wengi, lengo letu sio kutaka umaarufu, lengo letu ni wananchi wahudumiwe vyema na wapate afya njema ili warejee katika maisha yao ya kupambania uchumi wa familia zao, ninaamini kwa maombi au kwa dawa watu watapona". Amebainisha Mhe. Makonda.


Hata hivyo, Mkuu huyo wa Mkoa, ametangaza ujio wa Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Tumaini Nagu atakayeambatana na Mkurugenzi wa Tiba kutoka Wizara ya afya ambao wanatarajiwa kuwa sehemu ya utoaji wa huduma za matibabu kwenye kambi hiyo inayotarajiwa kufikia kilele siku ya Jumapili ya Juni 30, 2024.


Kaulimbiu ya Kambi hiyo ya madaktari bingwa ni "Afya yako mtaji wako, kazi yetu ni kukupatia huduma bora"



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa