• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA NA BALOZI WA INDIA NCHINI BISHWADIP WEY WAJA NA FURSA ZA KIUCHUMI KWA VIJANA WA ARUSHA.

Posted on: March 13th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda leo Alhamisi Machi 12, 2025, amekutana na kuzungumza na Balozi wa India nchini Tanzania Mhe. Bishwadip Wey, wakikubaliana kukuza na kuimarisha mahusiano ya pande hizo mbili katika kuhakikisha kuwa wananchi wa Arusha wananufaika na fursa mbalimbali kutoka nchini India.



Katika mazungumzo yao, Mhe. Makonda na Balozi Wey wamejadiliana na Mkoa wa Arusha kupata fursa ya mambo matano ikiwemo, Kongamano kubwa litakalofanyika Mwezi Mei mwaka huu, ambapo atakuwepo Profesa nguli kutoka nchini Marekani kutoa  elimu kuhusu akili mnemba (Artificial Inteligence) kwa vijana wa Arusha.



Aidha, wamejadiliana kuanzisha mahusiano na Chuo cha Zanzibar kinachofadhiliwa na serikali ya India, katika kushirikiana pamoja na mkoa wa Arusha katika matumizi ya Teknolojia ya Akili mnemba katika utendaji wa kazi.



Viongozi hao pia katika mazungumzo yao wamekubaliana kuanzisha kilimo cha mitishamba inayotumika katika utengenezaji wa dawa za asili chini ya usimamizi wa Chuo kikuu cha Nelson Mandela.



Pia wamejadili kuhusu nchi ya India kutoa fursa za ufadhili wa masomo kwa vijana takribani 1000 watakaokuwa na fursa za kusoma kozi mbalimbali sambamba na ufadhili wa wapishi 50 watakaoenda kupata mafunzo ya upishi wa vyakula vyenye ladha ya kihindi ili kuvutia watalii kutoka nchini humo watakaokuja Tanzania.



Fursa nyingine iliyopatikana katika mazungumzo ya Mhe. Makonda na Balozi huyo wa India nchini Tanzania ni pamoja na kuimarisha kilimo cha maembe mkoani Arusha kutokana na uhakika wa soko linalopatikana nchini India, ambapo raia wa nchi hiyo wamekuwa na uhitaji mkubwa wa Unga unaotokana na tunda la embe kwaajili ya matumizi mbalimbali.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa