• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MONGELLA AWAPONGEZA VIONGOZI, WATALAMU WA WILAYA YA LONGIDO KWA KUPIGA HATUA KATIKA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA SERIKALI........

Posted on: November 7th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. V.K. Mongella ameupongeza uongozi wa wilaya ya Longido, Kamati ya Ulinzi na Usalama, viongozi wa Chama na wawakilishi wa wananchi kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kutekeleza shughuli za serikali za kuwahudumia wananchi wilayani humo.


Akizungumza kwenye kikao kifupi cha ukaribisho, Mhe. Mongella licha ya kuwapongeza watalamu hao kwa kufanya kazi nzuri ya usimaamizi wa miradi ya maendeleo, amewasihi kuhakikisha wanayafikia malengo yaliyokusudiwa na Serikali ya kutoa huduma bora na stahikinkwa wananchi.


Amethibitisha kuwa kwa sasa wilaya ya Longido imepiga hatua katika utekelzaji wa shughuli za serikali , shughuli ambazo kwa kiasi kikubwa zimefanikiwa kufikia malengo ya serikali tofauti na hapo awali, ameongeza kuwa kwa sasa Longido imetu,ia na inakwenda na kasi ya Serikali ya awamu ya sita.


"Niwapongeze kwa kazi kubwa inayofanyika Longido kwa sasa, niwatake tusonge mbele, wanaLongido hawataki maelezo wanataka maendeleo, miradi yote inatakiwa kukamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyoelekezwa kulingana na thamani ya fedha zilizotolewa na Serikali" Amesema Mhe. Mongella


Ameongeza kuwa, Serikali imewapa jukumu kubwa viongozi na watalamu katika usimamizi wa miradi, tumieni dhamana hiyo kumuunga mkono Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika usimamizi na utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wakati na inayozingatia vigezo na viwango vya ubora.


"Sote tu mashahidi Serikali ya awamu ya sita imetoa fedha nyingi za kutekeleza na kukamilisha miradi ya maendeleo nchini, tofauti na awamu zilizotangulia, tusimkatishe tamaa Mhe. Rais, hakikisheni wananchi wanapata huduma stahiki na kwa wakati" Amesisitiza Mhe. Mongella


Awali mkuu wa mkoa wa Arusha yuko wilaya ya Longido kwa ziara ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa shughuli za utekelezaji wa miradi ya Maendeleo na kukutana na uongozi wa wilaya hiyo.


#ArushaFursaLukuki

#KaziInaendelea



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa