• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI YAJIPANGA KUJA NA MBINU JUMUISHI ZA USHIRIKISHWAJI WA JAMII KUHUSU m-mama

Posted on: July 11th, 2024


Serikali ya awamu ya sita, kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na ofisi ya Rais - TAMISEMI pamoja na Wadau mbalimbali, imejipanga kuweka Mbinu Jumuishi za Ushirikishwaji wa Jamii kuhusu m-mama ili kuongeza uelewa kwa jamii wa mfumo huo.


Katika kutekeleza adhma hiyo, watumishi wa Sekta ya Afya na wadau wengine wamefanya kikao cha kujadili Mbinu Jumuishi za Ushirikishwaji wa Jamii kuhusu m-mama kilichofanyika kwenye ukumbi wa Olasit Garden, Mkoani Arusha Julai 010,2024.


Akizungumza kwenye Kikao hicho, mwakilishi kutoka Wizara ya Afya, James Mhinu, amesema kuwa lengo la kikako hicho ni kuwajengea uwezo washiriki kwa ajili ya kuhamasisha jamii kuhusu mfumo huo pamoja na kutengeneza mpango kazi wa utekelezaji wa kazi hiyo. 


Mhinu ameeleza kuwa kikao hicho ni muhimu kwaajili ya kukuza ushirikiano wa karibu kati ya wadau mbalimbali na kujenga msingi imara wa kuendeleza na kukuza matumizi ya teknolojia ya m-mama kwa manufaa ya jamii na maendeleo endelevu.


Aidha, Mfumo huo ulianzishwa kwa lengo la kupunguza vifo waj watoto wachanga na wajawazito wakati wa kujifungua nchini, kwa kuimarisha mfumo wa usafiri wa dharura kwa gharama nafuu kwa kutumia teknolojia, sambamba na ushirikishwaji wa jamii kwenye kutoa huduma ya usafiri mbadala pale inapohitajika.


Hata hivyo, mfumo huo umetengenezwa kuwa endelevu na nafuu kwa jamii na wananchi kupata fursa ya kupiga namba ya simu 115 bure ili kupata msaada wa haraka huku rufaa 90,000 zikiwa zimesafirishwa na zaidi vituo vya afya 7,600 vilichanganuliwa, sambamba na Serikali kuanzisha dawati la msaada mtandaoni kwa Mikoa ili kuripoti matatizo yoyote kuhusu m-mama.


Inakadiriwa kuwa takribani akina mama 2,370,000 wanapata ujauzito kwa mwaka ambapo Akina mama zaidi ya 300,000 sawa na asilimia 15% wanapata changamoto zitokanazo na uzazi, na katika hawa ni asilimia 6 tu sawa na takribani akina mama 45,000 watakaohitaji usafiria wa dharura na Akinamama wanaojifungulia kwenye Vituo vya Kutolea huduma za Afya ni sawa na asilimia 83.


Awali, Mfumo huo ulizinduliwa rasmi kwa awamu III ukijumui mikoa yote nchini huku awamu ya kwanza ikiwa mkoa wa Shinyanga na awamu ya pili mikoa ya Mara, Arusha, Singida, Katavi, Iringa na Mtwara


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa