• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI YAZIONGEZEA HALMASHAURI WIGO WA UKUSANYAJI WA MAPATO...

Posted on: June 21st, 2024

@ortamisemi


Serikali imefanya marekebisho mbalimbali kwenye sheria ya Fedha ya Mamlaka za Serikali za mitaa sura 290 kupitia sheria ya Fedha namba 2 ya mwaka 2023.


Mabadiliko hayo yameweka jukumu la kusimamia na kukusanya Kodi ya Majengo pamoja na ushuru wa mabango kwa mamlaka za serikali za Mitaa ili kuziongezea wigo wa mapato mamlaka hizo.


Maafisa kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI leo Juni 19, 2024 wamewajengea uwezo wataalamu wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga pamoja na Watendaji wa Kata na Vijiji namna ya kukusanya kodi ya majengo ambapo mafunzo haya yamelenga kutekeleza mabadiriko ya Sheria ya fedha na miongozo mbalimbali kwa lengo la kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato katika Halmashauri zote nchini.

Wakati akifungua mafunzo hayo Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga Ndg. Kulanga Kanyanga amesema uwepo wa mafunzo hayo ni hatua nzuri ya Serikali kwa Halmashauri, kwani ukusanyaji wa mapato hayo utaleta tija kwa Jamii, kuimarisha uratibu wa shughuli mbalimbali za Halmashauri pamoja na Taifa kwa ujumla.


« Ndugu Wataalam na Watendaji, sisi ni miongoni mwa Halmashauri 47 zilizoteuliwa kupata mafunzo ya kujengewa uwezo wa kutumia mfumo wa TAUSI katika kukusanya mapato yatokanayo na kodi ya majengo ambapo itawezesha kuleta maendeleo makubwa kwa Halmashauri na Jamii yetu, tunaishukuru sana Serikali yetu » alisisitiza Ndg. Kanyanga


Aidha, baada ya mafunzo hayo Halmashauri inapaswa kuanza kukusanya kodi ya majengo, pia kutoa vibali vya ujenzi na vya matangazo kwa njia ya mtandao ambapo mteja ataweza kujihudumia mwenyewe kupitia dirisha la Mlipakodi (TAUSI Taxpayer Portal).





Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa