• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

SIKU MBILI ZA KLINIKI ARUSHA JUMLA YA WAGONJWA  6,434 WAHUDUMIWA

Posted on: June 27th, 2024

Na Elinipa Lupembe

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda Paul Makonda  amebainisha kuwa kwa siku mbili za tangu kuanzia kwa kambi ya Matibabu kwenye Kliniki ya Madaktari Bingwa na Wabobezi mkoani humo tayari watu 6,434 wamehudumiwa na kupatiwa matibabu, kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha

Akuzungumza na maelfu ya wananchi waliojitokeza kupatiwa huduma katika kambi hiyo ya madaktari Bingwa, Mhe. Makonda amesema kuwa, kwa siku mbili tayari wagonjwa 6,434 wameshahudumiwa na kupatiwa matibabu huku watu 25, wakipatiwa rufaa kwa matibabu ya ziada kwenye hospitali na Taasisi za Umma nchini.

Ametumia muda huo, kuwapongeza na kuwashukuru kambi ya Madaktari Bingwa na Wabobezi, wahuumu wote wa faya kwa kushurkiana na Ofisi yake kuwahudumia wagonjwa hao licha ya changamoto ya onhezeko lamidadi kubwa ya watu siku hadi siku lakini wameendelea kutoahuduma hadi usiku bila kuchoka wala kukata tamaa.

"Tunafahamu kazi ya madaktari sio rahisi sana, inahitaji moyo wa kipekee sana, niwapongeze watoa huduma wote, timu mzima ya usimamizi kwa kazi nzuri ambayo inarudisha matumiani yaliyopotea kwa wananchi wetu hasa wenye kipato duni, tuendelee kuchapa kazi, Arusha kwetu ni Afya na Kutafuta pesa" Amesema Mhe. Makonda.

Hata hivyo, ameweka wazi kuwa, kulingana na takwimu za siku hizo mbili zilizobainisha ongezeko la watu kwa kila siku hali inayowapa mwanga wa kusudio la kuongeza dawa zaidi pamoja na madaktari na wahudumuwa wa afya hadi kufikia 550.

"Kwa idadi hiyo ya watu tuliowahudumia kwa muda wa siku mbili inatoa picha halisi ya uhitaji, hali inayotulazimu kuongeza dawa ili kila anayefika hapa apate huduma, na nimeshamuagiza Mganga Mkuu kuongeza mabanda mengine na madaktari" Amesema

Kaulimbiu ya Kambi hii ya madaktari bingwa ni "Afya yako mtaji wako, kazi yetu ni kukupatia huduma bora"



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa