• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TAIFA LISILO NA UTAMADUNI NI TAIFA LILILOKUFA

Posted on: October 10th, 2018

Katibu mkuu wa wizara ya habari,Utamaduni,sanaa na michezo, Suzan Mlawi amesema,Taifa lisilo na utamaduni ni taifa linalokufa na kutoa kizazi kisichoweza kuenzi na kuthamini mila na desturi zao.

Ameyasema hayo alipokuwa akifungua tamasha la Urithi wa Utamaduni katika mkoa wa Arusha lililoanza Octoba 8, 2018 hadi Octoba 13 katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid.

“Nimefarijika kuona tamasha hili litakuwa linafanyika kila mwaka, kwani litatoa nafasi kubwa sana kwa watanzania kujifunza tamaduni mbalimbali na pia litaenzi mila na desturi zetu kwa kiasi kikubwa”,alisema.

Amesema kupitia tamasha hili anategemea kuona ukuaji wa uchumi kwani bidhaa nyingi za asili zitapata masoko,kufufua mila na desturi zilizokufa kwa vijana wa sasa.

Mwenyekiti wa kamati kuu ya maandalizi  Pro.Audax Mabula, amesema tamasha hili lilizinduliwa mnamo Septemba 15,2018 na makamu wa Rais mheshimiwa Samia Suluhu Hasan mjini Dodoma na kuendelea  Zanzibar, Dar es Salaam na sasa lipo mkoani Arusha.

Amesema lengo kubwa la tamasha hili ni kuenzi mila na malikale za Kitanzania kwani ni kwa mda mrefu sasa  utamaduni wa watalii ndio umekuwa ukipewa kipaombele zaidi kuliko huu utalii wa utamaduni.

Kupitia tamasha hili la urithi wa utamaduni itasaidia kuutambulisha zaidi urithi wa utamaduni katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu.

Nae katibu tawala wa mkoa wa Richard Kwitega amesema tamasha hili kwa mkoa wa Arusha litasaidia kwa kiasi kikubwa kudumisha mila na desturi za makabila ya mkoa huu na pia kuwakutanisha makabila mbalimbali na kuweza kujifunza tamaduni zetu.

Tamasha hili la urithi wa utamaduni lilizinduliwa kwa mala ya kwanza nchini jijini Dodoma na litakuwa likifanyika kila mwaka kwa mwezi mzima wa Septemba katika mikoa mbalimbali na kwa Mkoa wa Arusha linafanyika pia katika wilaya ya Karatu.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa