• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TATIZO LA MAJI LIMEISHA ARUSHA- RAIS SAMIA SULUHU

Posted on: October 17th, 2021

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa fedha kiasi cha shilingi Milioni 520 kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa Maji katika Jiji la Arusha na baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Arumeru.

Kauli hiyo imetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan alipokuwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha Chekeleni Wilayani Arumeru baada ya kukagua mradi wa Maji kwenye kisima cha mashine ya kusukuma cha Maji.

Amesema Serikali inaendelea kutatua changamoto ya Maji katika Mkoa wa Arusha na mradi huo mkubwa ukikamilika shida itakuwa imesha.

Nae, Waziri wa Maji Juma Aweso amesema Mkoa wa Arusha ulikuwa na changamoto kubwa ya Maji kwani upatikanaji wake ulikuwa ni 40% tu lakini kwa sasa Maji yanapatikana kwa 65%, hivyo ni juhudi kubwa za Serikali za kuhakikisha tatizo la Maji linaisha katika Mkoa wa  Arusha.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amesema Chama kitahakikisha ahadi zote zilizowekwa kwenye ilani ya chama hicho zinatekelezwa na kukamilika ndani ya miaka 5.

Rais, Samia Suluhu Hassan ameanza ziara yake ya siku 2 katika Mkoa wa Arusha ambapo siku ya kwanza amekagua mradi wa Maji wa Chekeleni na kufungua Hospitali ya Jiji la Arusha iliyogharimu Bilioni 2.5 za mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo na pia amekabidhi mfano wa hundi ya fedha za mikopo yenye thamani ya Bilioni 1.3 kwa vikundi vya kinamama, vijana na wenye ulemavu.









Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa