• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TUENDELEE KUSHIRIKIANA HATA KWENYE SENSA

Posted on: August 17th, 2022

"Sensa haina kikwazo cha kiimani, hivyo kila mmoja atoe ushirikiano na kujitokeza kuhesabiwa siku ya Agosti 23."

Yamesemwa hayo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongella alipokuwa akizungumza na viongozi wa dini, kisiasa, Kimila, viongozi wa wabodaboda, machinga na wenyeulemavu katika kikao cha kuhamasisha sensa.

Amesema ili zoezi la sensa liweze kufanikiwa hatuna budi tuendelee kushirikiana kuhamasisha kama tunavyoshirikiana kwenye mambo mengine ya maendeleo katika Mkoa wetu.

Mwenyekiti wa waendesha bodaboda Mkoa wa Arusha Hashimu Msemwa amesema, kwakua Rais Mama Samia anatafuta njia njingi za kuleta maendeleo katika nchi hasa kutoka nje ya nchi hivyo wao wapo tayari kumuunga mkono katika kujitokeza kuhesabiwa ili iwe rahisi kwa yeye kujua kiasi cha maendeleo yanayoitajika.

Nae, mwenyekiti wa machinga Arusha Amina Njoka amesema wao wanaendelea kuhamasishana kwenye masoko yako.

Pia, Katibu wa walemavu Mkoa wa Arusha Yunus Urasa amesema, wanafurai kwa zoezi la sensa kuwa shirikishi kwao, na wataweza kupata idadi halisi ya walemavu katika Mkoa na nchi kwa ujumla.

Ameziomba Jamii zenye walemavu watoe ushirikiano katika zoezi la sensa ili walemavu wote waweze kuhesabiwa.

Naibu mwenyekiti kamati ya amani Mkoa wa Arusha Hussein Gulamu amewataka viongozi wa dini waendelee kuhamasisha kwenye nyumba zao za ibada ili waumini wajitokeze kuhesabiwa.

Askofu Israel Masa kutoka Jumuiya ya maridhiano amesema, wao wamekuwa wakihamasisha kila wanapokutana na waumini wao na kwa njia ya simu.

Kiongozi wa Kimila Lwaigwanani Isack Meijo Olekisongo amesema, Taifa lisipofanya sensa ni sawa na kutembea gizani,hivyo wao wataendelea kuhamasisha jamii zao wahesabiwe.

Kikao cha viongozi wa taasisi mbalimbali kimefanyika katika ngazi ya Mkoa kama mwendelezo wa kampeni ya Mhe. Mongella katika kuhamasisha sensa.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa