• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TUMIENI TEHAMA KIKUZA UCHUMI WA NCHI- MAJALIWA

Posted on: October 22nd, 2021

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa amewataka wataalamu wa TEHEMA kubuni mbinu mbalimbali za kukuza uchumi wa nchi.

Ameyasema hayo alipokuwa akifungua kikao cha 5 cha TEHAMA Mkoani Arusha katika kituo cha mikutano (AICC).

"Teknolojia ya kijitali ndio inayoongoza ulimwenguni kwa sasa kwani mambo mengi yanaendeshwa kijitali na kuongeza kasi ya maendeleo".

Hata nchi yetu inaweza kufikia hatua hiyo kwani tayari Serikali imewekeza nguvu nyingi katika kuhakikisha TEHAMA inakuza uchumi wetu.

Pia,Serikali itahakikisha teknolojia hii inawafikia wananchi hata wa Vijijini kwani hadi kufikia 2024 Kilomita 15,000 za Mkongo wa Taifa zitakuwa zimefikiwa kwa gharama ya zaidi ya Bilioni 170.

Aidha, ameitaka Tume ya TEHAMA kusajili wataalamu wa sekta hiyo wa kutosha ili kufikia malengo ya kuwa nao 5000 ifikapo 2025.

Pia, ameitaka Wizara ya Habari, teknolojia ya mawasiliano na habari kushirikiana na sekta binafsi ili kukuza ufanisi zaidi na kusimamia upanuzi wa Mkongo wa Taifa ili huduma ufike hadi katika miji ya Halmashauri zote.

Wizara ishirikiane na Wizara ya Afya katika kutoa taarifa mbalimbali kijitali hasa za ugonjwa wa UVIKO 19, pia katika kutoa elimu juu ya sensa ya watu na makazi itakayofanyika 2022.

Amesisitiza zaidi kwa Wizara kushirikiana na Wizara ya mambo ya ndani katika kuongeza ulinzi na usalama wa miji kwa kufunga kamera katika Mitaa mbalimbali.

Nae, Waziri wa Habari, teknolojia ya mawasiliano na habari Dkt.Ashatu Kijaji amesema Wizara yake imejipanga kuhakikisha TEHAMA inakuwa ndio nguzo kubwa ya uchumi wa Taifa ili kuleta maendeleo.

Wizara imejipanga kuibia vijana wenye ujuzi wa TEHEMA ili kuwaendeleza na kuwasaidia kukuza utalaamu wao huku tukiibua fursa za kiuchumi.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella amesema Dunia ya sasa inategemea sana teknolojia ya kijitali katika mambo mbalimbali hivyo ni fursa kubwa kwa watanzania kuichangamkia.

Mkutano wa 5 TEHAMA umefanyika Jiji Arusha chini ya wizira ya Habari, teknolojia ya mawasiliano na habari na kwa mwaka 2022 mkutano huo unatarajiwa kufanyika Zanzibar.





Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa