• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

UTEUZI WA KAIMU MKURUGENZI WA JIJI LA ARUSHA

Posted on: May 26th, 2022

Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Dkt. Athumani Kihamia amemteuwa Katibu Tawala msaidizi Uchumi na Uzalishaji Mali bwana Hargeney  Reginald Chitukuro kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kwa muda hadi apo Serikali itakapotoa utaratibu mwingine.

Katika kikao maalumu cha kumtambulisha Kaimu Mkurugenzi huyo Dkt.Kihamia amewataka wakuu wa idara Jiji la Arusha kushirikiana nae katika kutekeleza majukumu yake.

Pia,amewataka watumishi wa Jiji la Arusha kufanya kazi kwa ushirikiano na wasikubali kupelekeshwa katika kutekeleza majukumu yao.

Dkt.Kihamia amesisitiza makabidhiano ya ofisi ya Mkurugenzi yafanyike mapema iwezekanavyo ili majukumu mengine yaendelee katika ofisi hiyo.

Ofisi ya Rais TAMISEMI ilikasimisha madarasa hayo kwa Katibu Tawala Mkoa ya kumteuwa atakae Kaimu nafasi hiyo kwa muda.

Nae, Kaimu Mkurugenzi wa Jiji hilo Bwana Hargeney Chitukuro amesisitiza kuwa na ushirikiano kutoka ngazi za Mkoa, Wilaya na Halmashauri.

Amesema, jukumu la kutekeleza majukumu yaliyopo nikufuata sheria na taratibu zilizopo ili kukuza ufanisi zaidi.

Mastahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Maximilian Iranghe amemuaidi Kaimu Mkurugenzi huyo ushirikiano katika kutekeleza majukumu yake na kuleta maendeleo katika Jiji hilo.

Hatua ya kumteuwa Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha imefikiwa baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji hilo Dkt. John Pima kusimamishwa kazi na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa kwa tuhuma za ubadhilifu na amatumizi mabaya ya fedha za Serikali.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa