• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

VIJANA KUZENI UJUZI

Posted on: August 13th, 2018

Bilioni 15 zitatumika  kukuza ujuzi kwa vijana zaidi ya milioni 4.4 nchini, ili kuwawezesha vijana kuwa na uwezo wa kushiriki shughuli za uchumi wa viwanda.

Yamesemwa hayo na naibu waziri ofisi ya waziri mkuu, sera,bunge,ajira,vijana na wenye ulemavu Mheshimiwa Antony Mavunde,alipokuwa akihutubia vijana katika kilele cha ziku ya vijana kimataifa Mkoani Arusha.

“Vijana mnatakiwa kuwa mstari wa mbele kushiriki katika shughuli za ukuzaji wa uchumi wa viwanda“.

Serikali imeshaweka kipaombele katika kukuza ujuzi kwa vijana ili kuwapa uwezo wakushiriki shughuli mbalimbali za uzalishaji mali na kuwasaidia kukuza uchumi wao.

Amesema ukosekanaji wa ujuzi ndio changamoto kubwa inayowakabili vijana wengi kwa sasa, kwani tafiti za  mwaka 2014 zinaonesha kuwa 3.5% ya watu wana ujuzi wa juu, 16.6% wana ujuzi wa kati na 76.9 wana ujuzi wa chini kabisa.

Amesema viwango vya kimataifa vinatambua ujuzi katika 12% uwe wa juu,34% wa kati na 54% niwa chini, hivyo nchini yetu bado inakazi kubwa sana katika kuhakikisha tunafikia kiwango hicho cha kimataifa.

Amewasisitizia vijana wote nchini kuakikisha wanatunza afya zao kwani bado kiwango kikubwa cha maambukizi ya virusi vya ukimwi (VVU) kipo kwa vijana.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo,amewataka vijana wasikubali kutumika na watu kwa mambo mbalimbali kama yakisiasa, amesema vijana wanatakiwa kuwa makini katika maamuzi wanayoyataka kuyafanya ili waweze kuamua vitu vyenye tija.

Gambo amesema mkoa unaendelea kusimamia shughuli na maelekezo mbalimbali yanayotolewa na serikali ya awamu hii ya tano.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro ambae ndie alikuwa mwenyeji wa maadhimisho hayo ya kilele cha siku ya vijana, amesema wilaya yake imeshatenga ekari 3000 kwenye eneo la Malula kwa ajili ya uwekezaji na vijana ndio watapewa kipaombele cha kupewa maeneo hayo.

Ameishukuru serikali ya Mkoa kwa kuleta maonesha hayo katika wilaya yake na amesema wananchi wa Arumeru wamefurai na wamepata elimu ya kutosha.

Maadhimisho ya siku ya vijana kimataifa yalianzishwa rasmi na umoja wa mataifa kwa lengo la kutoa fursa kwa vijana kujadili maswala mbalimbali yanayowahusu na kuyatafutia majibu na huanzimishwa kila mwaka Agosti 12 ambapo mwaka huu 2018 yameadhimishwa Mkoani Arusha.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa