• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WATUMISHI WA UMMA WAMETAKIWA KUWA NA MAZOEA YAKUPIMA AFYA ZAO

Posted on: August 14th, 2023

Watumishi wa Umma wametakiwa kuwa na kawaida ya kupima Afya zao, kufanya mazoezi, kuepuka misuguano isiyo ya lazima mahala pa kazi pamoja na migogoro ya kifamilia ambayo imeonekana ndiyo kiini kikubwa cha msongo wa mawazo ambapo hupelekea kushusha ufanisi wa utendaji kazi Serikalini.

Hayo yamesemwa na John Mongella,Mkuu wa Mkoa wa Arusha wakati akichangia mada ya Uongozi Binafsi na Akili Hisia katika Mafunzo kazi ya Viongozi wa Mkoa wa Arusha yanayoendelea katika Hotel ya The Retreat At Ngorongoro iliyopo Wilayani Karatu.

Mongella amesema ili kuwa Taasisi imara sharti watu wake wakawa na afya njema ya kiakili pamoja na utimamu wa kimwili kwani vitu hivyo ndiyo msingi wa utendaji kazi mzuri na kuwataka Watumishi kuepuka kujiingiza katika tabia zinazochangia msongo wa mawazo ikiwemo misuguano isiyo ya lazima mahala pa kazi, migogoro ya ndoa, tamaa ya kupata mali harakaraka na madaraka pamoja na ulevi uliyokithiri.

Aidha,katika mafunzo hayo Viongozi washiriki wamepata fursa ya kujifunza na kutafakari mambo mbalimbali ya kiuongozi ikiwemo namna ya kukabiliana na changamoto za msongo wa mawazo mahali pa kazi na katika familia,namna ya kutumia vizuri rasilimali watu ili kuleta matokea chanya ya kiutendaji na pia namna ya kufanya kazi umoja na mshikamano.

Mafunzo hayo ya siku nne yana lengo la kuwajengea uwezo wa kiutendaji Viongozi wa Mkoa wa Arusha yamejumuisha Viongozi wa kada mbalimbali akiwemo Mkuu wa Mkoa,Katibu Tawala Mkoa,Wakuu wa Wilaya,Wakuu wa Seksheni na Vitengo toka Sekretariati ya Mkoa, Makatibu Tawala Wilaya,Meya wa Jiji la Arusha na Wenyeviti wa Halmashauri, Wakurugenzi wa Halmashauri,Wakuu wa Taasisi za Umma Mkoa wa Arusha pamoja na Wakuu wa Seksheni na Vitengo toka Halmashauri ambapo mafunzo hayo yalifunguliwa jana tarehe 13/08/2023 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Anjella Kairuki.

Mada hizo za Uongozi Binafsi na Akili Hisia zimetolewa na Bi.Zuhuru Muro mkufunzi toka Uongozi Institute pamoja na Dkt.Garvin Kweka toka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa