• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAKALA WA UTALII KUNUFAIKA NA NMB

Posted on: September 16th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mheshimiwa Idd Kimanta, ameipongeza benki ya National Microfinance Bank (NMB) kwa kuanzisha huduma wenzeshi ya malipo ya kabla bila kuwa na akaunti kwa wakala utalii.

Ametoa pongezi hizo alipokutana na uongozi wa benki hiyo ofisini kwake,amewaeleza amefurahishwa na huduma hiyo kuletwa katika Mkoa wa Arusha ambapo ndipo kwenye kitovu cha utalii.

Amesema,huduma hiyo itasaidia sana katika kurahisisha malipo mbalimbali kwa watalii wenyewe na hata wakala wa utalii.

Akitoa maelezo ya jinsi huduma hiyo itakavyofanya kazi Afisa Mkuu wa wateja wakubwa bwana Alfred Shayo, amesema huduma hiyo itasaidia kuwapunguzia muda wa kufanya malipo kwa foleni kwa watalii na mawakala wa utalii.

Vile vile huduma hiyo itaongeza makusanyo ya kodi kwa serikali kwani kila malipo yatakuwa yanafanyika kwa mtandao na hivyo itapunguza wizi wa mapato ya serikali.

Bwana Shayo, amesema huduma hiyo itawasadia hata wafanyabiashara wa mitandaoni kwa kuwarahisishia manunuzi kwa kutumia kadi ya malipo kabla bila kuwa na akaunti na ina uwezo wa kubadili aina 15 za fedha za kigeni.

Kadi hiyo ya malipo ya kabla itawasaidia wateja kupunguziwa makato ya mara mara pindi wanapofanya miamala ya mbalimbali.

Amesema, kadi hiyo ya kieletroniki itawasaidia hata wakulima wanapofanya malipo yao mbalimbali.

NMB wamezindua huduma ya malipo kabla kwa kutumia kadi ya kieletroniki bila kuwa na akaunti mapema wiki hii jiji Dar es Salaam, mahususi kabisa katika kusaidia malipo mbalimbali hasa kwa wakala wa watalii.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa