• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

Wakuu wa Idara Watakiwa Kufanya Kazi Kwa Weredi

Posted on: March 22nd, 2018

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Mashaka Gambo amewaonya vikali wakuu wa idara mbalimbali za serikali ambao hawafanyi kazi zao kwa weledi hadi kusubilia ukaguzi wa viongozi wakuu.

Gambo amesema hayo wakati akiutimisha ziara yake ya siku ya kwanza ya ukaguzi wa ujenzi wa viwanda vipya jijini Arusha katika kiwanda cha MONABAN TRADING COMPANY LTD cha utengenezaji wa mifuko kilichopo katika kata ya moshono jijini Arusha.

Gambo ameeleza kwamba kumekuwa na uzembe mkubwa wa watendaji wa serikali hasa wakuu wa vitengo kutowafuata wawekezaji kujua changamoto zao hadi pale viongozi watakapo fanya ziara katika maeneo mbalimbali kwaajili ya ukaguzi wa maendeleo na watumishi hao kutokuwa na majibu ya kutosheleza kutokana na kujifungia maofisini na sio kufanya kazi za wananchi.

Aidha pia Gambo amemuagiza Katibu Tawala wa mkoa Richard Kwitega kuwafuatilia kwa ukaribu watendaji hao ili kuacha kufanya kazi kwa mazoea kwani hivi sasa ni zama za utendaji kazi na sio zama za kulala na kuwataka kama hawawezi kwenda na kasi ya Dk Magufuli waache kazi mara moja na kuwapisha watu wenyeuwezo.

"Nikutake katibu mkuu wa mkoa kuwafatilia kwa karibu sana watendaji wazembe wanao fanya kwa mazoea waache mara moja kwani hawamu ya tano ni ya utendaji kazi na inamalengo ya kufikia uchumi wa kati na Tanzania ya viwanda sitaki mzaa katika kazi na nitaakikisha ninakaa na taasisi zote za serikali kama Tanesco, TRA , TANROAD,TARURA pamoja na AUWASA ili kuahikisha changamoto zite zinazo wakabili tunazimaliza." Alisema Gambo.

Aidha Mrisho Gambo aliwahakikishia wawekezaji wote wa jiji la Arusha kuwa serikali ya awamu ya tano ipo tayari kuwapokea na kuwajali kani dhumuni la serikali ni Tanzania ya viwanda na kuwataka waweke kipaumbele kuwaajili watanzania na kuwapongeza wakezaji hao kwa ujasili na ukomavu wa kuweza ndani ya wa muwekezaji wa kiwanda cha MONABANI TRADING COMPANY LTD, Ndg Philemon Mollel ( MONABANI ), ameweza kuiomba serikali kupunguza kodi za tozo kwa kuagiza malighafi nje ya nchi kwa ajili ya utengenezaji mifuko hiyo hapo kiwandani ili kuweza kumudu gharama za uwekezaji.


"Nikuombe mkuu wa mkoa kutufikishie changamoto zetu za ukubwa wa kodi zinatufanya tushindwe kuwekeza na kuendesha viwanda ndani ya nchi tuiombe serikali utufikilie upya katika tozo ili tuweze kuendana na kaulimbiu ya serikali ya viwanda" Alisema Mollel.

Awali akisoma lisara ya ujenzi wa kiwanda mkurugenzi wa fedha wa kampuni hiyo Nathan Mollel ameeleza kuwa hadi kukamilika kwa kiwanda hicho kitaghalimu jumla shilingi Bilioni 9.6 na na kitakuwa na uwezo wa kuzalisha jumla ya mifuko milioni moja kwa mwaka huku kikiwa kimetoa ajira kwa watanzania wasio pungua 150.

Ziara hiyo ya mkuu wa mkoa iliyoa anza leo ya kutembele viwanda nane vipya vinavyo jengwa katika jiji la Arusha na inategemewa kumalizika tarehe March 23 mwaka huu ambapo anatembelea viwanda vya Athere to ideal making Ltd, The Old Moshi Distillery Ltd pamoja na Monaban Trading and Compay Ltd,Tanzania Geomolohical Cetre, International Dairy Product,Bhuni Mbuni Co.Ltd, Swed Tan Ltd pamoja na Sterling Surfactants

Ziara hiyo ya ukaguzi wa viwanda imeanza baada ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli ya kuwataka wakuu wa mikoa yote kuhakikisha kila mkoa unakuwa na viwanda 100 mpaka ifikapo mwisho wa mwaka huu.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa