• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

Watoto Wenye Mahitaji Maalum Washinda Medali 32

Posted on: March 2nd, 2018

Watoto wenye mahitaji maalumu(ulemavu wa akili) 34 watunukiwa medali 32 baada yakuibika washindi katika mashindano  ya Olimpiki MaalumuTanzania ali maalufu kama (SOT) yaliyofanyika mapema Zanzibar.

Akiwatunuku medali hiyo kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa wa Arusha,Emmanuel Maundo amesema nijambo lakujivunia sana kwa mkoa wetu kuibuka washindi katika michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu na riadha,na kuweza kupata wawakilishi katika mashindano ya kimataifa.

“Ninafuraha sana kuona watoto wetu wenye ulemavu wa akili wameweza kuuwakilisha vizuri mkoa wetu katika mashindano haya, na wameweza kuonyesha kuwa hata wao wanaweza kufanya vizuri sana katika michezo mbalimbali.”alisema

Amewasihi sana wazazi ambao bado wanaendela kuwaficha watoto kama hao waache mara moja kwani hata wao bado wana fursa kubwa katika jamii yetu,hivyo wanatakiwa kupewa nafasi kama ilivyo kwa watoto wengine.

Aidha, amezitaka halmashauri zote za mkoa wa Arusha kuhakikisha zinatenga bajeti maalumu yakuendesha michezo kwa watoto wenye ulemavu kama ilivyo kwa watoto wengine na kuhakikisha zinashiriki katika mashindao yajayo.

Serikali inatambua vizuri sana mahitaji ya kundi hili la watoto wenye mahitaji maalumu ndio maana ikatenga bajeti yakutosha mashuleni ili waweze kupata chakula chakutosha asubuhi na mchana.

Akiongezea zaidi,amesema ofisi ya mkuu wa Mkoa Arusha itaendelea kuwa bega kwa bega na timu hiyo nakutoa ushirikiano kila mara ili kuwasaidia watoto hao waweze kuendelea na michezo yao.

Pia mratibu wa SOT Bwana Antony Mushi, amesema timu ya watoto hao walemavu wa akili imeweza kuibuka na medali 6 za Dhahabu,12 za Fedha na 14 za Shaba nakufanikiwa kutoa watoto watatu ambao watashiriki mashindano yakimataifa yatakayofanyika Machi 2019,huko Abu Dhabi Uarabuni.

Amewashukuru wafadhili mbalimbali waliojitokeza katika kusaidia mahitaji mbalimbali ya timu hiyo hususani tiketi za mabasi kwenda Zanzabar na kurudi,vyakula na vifaa vya michezo.Amehimiza wasichoke kusaidia kwani bado uhitaji nimkubwa na kuomba na wafadhili wengine wajitokeze zaidi.

Afisa Michezo wa Mkoa Mwamvita Onoka, nae amesema kama mkoa atahakikisha mashindao hayo ya watoto wenye ulemevu wa akili yanafanyika kila mwaka kwa Mkoa wa Arusha.

Amesema michezo kwa watoto hao nimuhimu sana kwa afya zao hivyo hamna budi kuyafanya kila mwaka badala yakusubiri kila baada ya miaka 3 au 4.

Olimpiki maalumu kwa Mkoa wa Arusha ilianza mwaka 1990 kwa mashindano hayo kufanyika hapa hapa Arusha na baadae yaliendelea katika mikoa mingine nchini.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa