• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI NDUMARO AAGIZA UJENZI WA UWANJA WA MICHEZO KUKAMILIKA KWA WAKATI

Posted on: April 6th, 2024


Na Elinipa Lupembe 


Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Damian Ndumbaro, amemuagiza Mkandarasi wa Kampuni ya CRCEG, iliyopewa kandarasi ya ujenzi wa Uwanja wa mpira wa miguu Arusha, kuhakikiza mradi huo unakamilika kwa wakati na kwa viwango vilivyoainishwa kwenye mkataba.


Mhe. Dkt. Ndumbaro ameyasema hayo, wakati wa hafla ya Kumkabidhi Mkandarasi eneo la ujenzi wa uwanja huo, iliyofanyika kata ya Olmoti, Jijini Arusha.


Amesema kuwa, Serikali inayomalengo na maelekezo kutoka FIFA ya kutumia uwanja huo kwenye mashindano ya AFCON mwaka 2027 na mkataba wa mradi huo ni miezi 24, na kumsisitiza mkandarasi kuzingatia mkataba lakini zaidi viwango vya ubora.


Aidha, ameuagiza uongozi wa mkoa wa Arusha, kupitia Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kushughulikia vibali vyote muhimu vya ujenzi, ili mkandarasi huyo asikwame kufanya kazi yoyote.


"Mkandarasi huyu apewe ushirikiano na asikwamishwe kwa namna yoyote ile, ni jukumu lako Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, kuhakikisha anapata vibali vyote vinavyohitajikankwenye ujenzi, asitokee mtu wa mazingira au afya kumuuliza mkandarasi vibali, wekeni mazingira rafiki ya kumpatia vibali vyote".Amesema Dkt. Ndumbaro


Aidha, ameuelezea mkakati wa Serikali ya awamu ya sita kuamua kujenga uwanja huo Arusha licha ya mashindano ya AFCON ni fursa ya kiuchumi kwa mkoa wa Arusha, inayokwenda kuchagiza utalii wa asili na kupanua wigo katika utalii wa michezo, utakao ongeza pato na uchumi wa Taifa.


"ipo mikoa mingi yenye maeneo makubwa, iliyoomba na kutamani uwanja huu ujengwe huko, lakini kura ikaangukia Arusha, ikiwa ni mkakati wa Serikali wa kukuza sekta ya utalii ikiwemo utalii wa michezo, kupitia uwanja huu wageni wote wapenda soka na watu maarufu dunia watakuja kwenye michezo jijini Arusha" Amesisitiza Dkt. Ndumbaro


Hata hivyo, amewataka wananchi wa Arusha, kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwapa fursa hiyo adhimu ya ujenzi wa uwanja inayokwenda kuleta mabadiliko chanya ya kuchumi Arusha na kuwataka kutoa ushirikiano kwa Mkandarasi pamoja na kushirikia katika kazi zitakazohitaji utalamu wa ndani.


Awali,Serikali kupitia Wizara yenye dhamana, imemkabidhi Mkandarasi eneo lamujenzi waUwanja wa mpira wa miguu Arusha, rmradi utakaotekelezwa kwa miezi 24.


#arushafursalukuki 




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa