• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ZANZIBAR KUWEKEZA ZAIDI KWENYE VISIWA VYAKE 52 KUKUZA UTALII...

Posted on: June 6th, 2024


Na Elinipa Lupembe

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Visiwani Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi anatarajiwa kuzindua mradi wa kwanza wa uwekezaji katika visiwa vidogo vilivyoko Kisiwa cha Bawe tarehe 15 Juni mwaka huu 2024.

Kauli hiyo imetolewa leo Juni 07, 2024 na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Visiwani Zanzibar Mhe. Mudrick Ramadhan Soraga wakati akihutubia kwenye uzinduzi wa onesho la Karibu Kili Fair 2024, akiwakaribisha washiriki wa onesho hilo kuhudhuria uzinduzi huo ikiwa ni mpango maalum wa kuvihuisha visiwa vidogo vinavyopatikana kwenye visiwa vya Unguja na Pemba.

Mwaka 2021 serikali ya Zanzibar iliruhusu uwekezaji kwenye visiwa vidogo vilivyopo Unguja na Pemba ikiwa ni utekelezaji wa sera ya serikali ya kuimarisha uwekezaji kwenye sekta ya utalii na uchumi wa buluu ili kuongeza pato la Taifa.

Katika hatua nyingine, Waziri Soraga amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Chrisrian Makonda kwa kutambulisha na kumuomba Rais Mwinyi kusaidia katika kuiunganisha Zanzibar na Arusha kiutalii, akisema mpango huo utasaidia katika kuongeza pato la Taifa kupitia sekta hiyo ya Utalii yenye kuingiza fedha nyingi za kigeni.

Maonesho ya Karibu Kili Fair 2024 yamezinduliwa leo Mjini Arusha na Waziri wa maliasili na utalii Mhe. Angellah Kairuki aliyeambatana na Waziri wa utalii Zanzibar, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na utalii Dkt. Hassan Abbas na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe.Paul Christian Makonda na wageni wengine kutoka ndani na nje ya TanTanzan


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa