• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

Maji

MAJUKUMU

1.To asssist,coordinate backstopping and monitor operation and maintenance for water supply schemes in LGA's.

2. To facilitate LGA's in developing guidelines for operation and maintenance of water supply schemes in the repsective community projects and private operated schemes.

3.To facilitate provision of technical expertise to LGA's to suppport communities,institutions and private sector in operation and maintenance of water supply schemes.

4.Monitor and supervison of implementation of projects.

5.To coordinate, review and give recommendations on designs submitted by LGA's for water supply projects infrastructures.

6.To ccordinate and harmonize approaches for water sector implementation and standards of engineering for Urban and Rural water supply.

7. Representation of the Ministry of water in interpreting the National Water Sector Policies andf guidelines for Urban and Rural Water Supply.

8. Facilitating,coordinating and advice LGA's in implementation of NRWSSP activities including appraisal of Districts projects,Procurement of services from Contractors and Consultants and application of Public Procurement Act and Regulations, Budgeting and Financial Management.

9. To facilitate provision of linkage between LGA's ,other relevant authorities and the MoW in the planning and development of water sector components.

10. To facilitate provision of technical expertise and advice to LGA's in capacity building and support for community owned water supply organisation (COWSOs) in operation and maintenance of water supply schemes.

11. Helping LGA's in preparing the guidelines for implementation and rehabilitation of water projects i.e Design of water projects,preparation of Bill of Quantities (BOQ),preparation of Tender documents,Evaluation of bids,preparation of contracts documents,supervision and coordination of Construction of water schemes, setting out and surveying,attending different Regional Meetings, Planning and Budgeting.

Hali ya huduma ya Maji Vijijini

Kwa mujibu wa Sensa ya mwaka 2012 inaonyesha kuwa Mkoa wa Arusha ulikuwa na jumla wakazi wapatao 1,694,310

Ilikadiriwa kuwa wakazi 1,363,262 walikuwa wanaishi maeneo ya Vijijini.

Kati ya hao, wakazi 815,230 walikuwa wanapata huduma ya maji sawa na asilimia 59.8.

Hadi kufikia mwezi Desemba 2016, Mkoa wa Arusha ulikadiriwa kuwa na wakazi 2,025,111 waishio maeneo ya vijijini.

Kati ya hao, wakazi 1,220,058  walikuwa wanapata huduma ya maji sawa na asilimia 60.2. 


Hali ya Upatikanaji wa Huduma za Maji Mijini

Na

Wilaya

Mji/Jiji

Mamlaka inayosimamia Huduma ya Maji 

Mahitaji ya Maji (Lita/Siku)

Kiasi kinachozalishwa (Lita/Siku)

Wastani wa upatikanaji wa huduma ya maji Mijini (%)

1

Jiji la Arusha
Arusha
 Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Arusha (AUWSA)

93,270,000

37,500,000

40.2

2

Arumeru
Usa River
 Mamlaka ya Majisafi na Majitaka USA RIVER

1,149,800

410,000

35.7

3

Karatu
Karatu
 Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Karatu

4,700,000

1,570,000

33.4

4

Longido
Longido
 Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Longido

1,050,000

228,000

21.7

5

Monduli
Monduli
 Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Monduli (MOUWSA)

1,337,280

720,000

53.8

6

Ngorongoro
Loliondo/Waso
 Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Loliondo

1,064,000

563,920

53.0

 

 
 
Jumla 

102,571,080

40,991,920

40.0

Hali ya Utekelezaji wa Miradi ya Maji Katika Mkoa wa Arusha

Jumla ya miradi 70 inatekelezwa.

Miradi ya vijiji 33 imekamilika na jumla ya vituo 404 vimeanza kutoa huduma ya maji na wakazi wapatao 137,048 wameanza kufaidika.

Miradi ya vijiji 37 ipo katika hatua mbalimbali za ujenzi na manunuzi ya Wakandarasi.

Ni matarajio yetu kuwa hadi kufikia Juni, 2017 miradi 20 iliyo katika hatua za ujenzi itakuwa imekamilika na wananchi wake watakuwa wakifaidika na huduma za miradi hiyo.

Ambapo;

  • Mradi kwa maji Jiji la Arusha – mradi wa Bilioni 476 unaoendelea wa mkopo wa riba nafuu kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB).
  • Mradi kwa Mji wa Longido- mradi wa Bilioni 15.9 kutoka Serikalini na unaendelea.
  • Mradi kwa Mji Wasso- wa mil. 400 umesainiwa Januari, 2018 unaendelea.
  • Mradi kwa Mji wa Karatu wa mil.287 unaendelea
  • Mradi wa Maji Mji mdogo wa Ngaramtoni,Halmashauri ya Wilaya ya Arusha sh. Bilioni 4.5 ufadhili wa DFID na serikali sh.Bilioni 1.3.

Aidha,ipo miradi ya Vijiji 10 kwa kila Halmashauri kupitia Programu y maji vijijini.Awamu ya kwanza ambayo imetengwa sh. Bilioni 41 na tayari bilioni 23 zimelipwa kwa mradi iliyokamilika.Matarajio ni kukamilika ifikapo Juni 2018.

Utekelezaji wa miradi hii 4 itainua wastani wa upatikanaji wa huduma ya maji hadi kufikia 85% ifikapo 2019.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • FUFUENI VITENGO VYA KUDHIBITI MIMEA-MAJALIWA

    March 05, 2021
  • TUMIENI ARDHI KWA MAENDELEO YENU-RC KIMANTA

    February 26, 2021
  • NZIGE WADHIBITIWA KWA ZAIDI YA 70% WILAYANI LONGIDO

    February 25, 2021
  • MWALIMU MKUU AVULIWA MADARAKA

    February 19, 2021
  • Angalia Zote

Video

HAKUNA DIVISION ZERO ARUSHA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa