• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

MWENYEKITI SABAYA AWASISITIZA WANAFUNZI ARUSHA, KUSOMA KWA BIDII

Posted on: March 21st, 2024


Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa, Loy Thomas Ole Sabaya, amewasIsitiza wanafunzi kutumia fusa waliyonayo kusoma kwa bidii na kujikita zaidi kwenye masomo, kwa kuwa tayari Serikali yao, imewaandalia mazingira mazuri na rafiki ya kujisomea.


Mwenyekiti Sabaya ametoa wito huo, alipozungumza na wanafunzi wa shule ya Msingi Nasholi, halmashauri ya Meru, wilaya ya Arumeru, wakati Kamati ya Siasa ilipofanya ziara ya Kukagua miradi ya Maendeleo katika halmshauri hiyo, ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020 - 2023 mkoa wa Arusha kuanzia mwezi Julai - Desemba, 2023.


Amefafanunua kuwa, Serikali ya Awamu ya sita, imefanyakazi kubwa na kuwekeza fedha nyingi katika kujenga na kuboresha miundombinu katika sekta ya elimu, hivyo ni jukumu la wanafunzi sasa kusoma kwa bidii ili kufikia ndoto zao, lakini zaidi kupata  ujuzi na maarifa yatakayowawezesha kulitumikia Taifa hapo baadaye.


"Serikali ya mama Samia, imewajengea shule nzuri, tumieni fursa hii adhimu kusoma, msidanganyike na kuacha shule, hakikisha unaelekeza akili zote kwenye masomo ili kufikia ndoto zenu, wapo waliosema wanataka kuwa madaktari, wahandisi, walimu, hakikisheni mnafika vyuo vikuu" Amesema Sabaya.


Hata hivyo, amewataka walimu na wazazi kushirikiana  kuwasimamia watoto ili waweze kuhitimu masomo yao kama kufikia malengo ya Serikali ya kuhakikisha watoto waote wakitanzania wanapata elimu.


Aidha amewasisitiza wazazi kuhakikisha wanawapa watoto wao, mahitaji yote ya Msingi ikiwemo kuwa na utaratibu wa kuwapa watoto chakula cha mchana wawapo shuleni.


Awali, mradi huo wa ujenzi wa shule mpya ya Msingi Nasholi, imejengwa na Serikali kwa gharama ya shilingi milioni 348.5 kupitia programu ya kuboresha miundombinu ya shule za Msingi Tanzania Bara (SEQUIP).


#ArushaFursaLukuki




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.