• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ARUSHA INA MKUU WA MKOA HODARI NA MCHAPAKAZI- MCHENGERWA

Posted on: October 5th, 2024


Imeelezwa kuwa Mkoa wa Arusha  una Mkuu wa Mkoa Hodari ambaye kwa kipindi kifupi alichokaa Arusha, licha ya juhudi zake za kazi za maendeleo ya kiuchumi na kijamii, amekuwa mstari wa mbele katika kuwasemea na kutatua kero za wananchi wa Mkoa wake wakati wote.



Pongezi hizo zimetolewa na Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa, wakati akuzungumza kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika Kilombero Jijini Arusha, ikiwa ni siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi mkoani Arusha Oktaba 04,2024. 



Mhe. Mchengerwa amewataka wananchi wa mkoa wa Arusha kujikita kwenye ujenzi wa Taifa kwa kushirikiana na viongozi wote wa mkoa huo chini ya uongozi wa Mkuu wa Mkoa wao Mhe. Paul Christian Makonda @baba_keagan,katika kuharakisha maendeleo ya mtu mkoja mmoja na mkoa kwa ujumla wake.



Amewataka wananchi wa Arusha kutoendekeza siasa badala yake kufanyakazi kwa bidii na kuwaomba kushirikiana na Mkuu wa Mkoa katika kuharakisha maendeleo ya mkoa wao.



"Makonda chapa kazi asikutishe mtu, Unashughulika na waliodhulumiwa, unashughulika na Maskini, unashughulika na yatima, unashughulika na wajane na Hii ndiyo kazi uliyotumwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Chapa kazi, Mhe. Rais anakuamini sana, Waziri wako nakuamini achana na siasa za majitaka za mitandaoni." Amesema Mhe. Mchengerwa


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa