• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ARUSHA NA SWEDEN ZAKUBALIANA KUENDELEA KUSHIRIKIANA KUKUZA SEKTA YA ELIMU MKOANI ARUSHA.

Posted on: November 20th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mhe. Balozi Charlotta Ozaki Macias, muda mfupi  baada ya kuwasili kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo mapema leo Jumatano Novemba 20, 2024.



Mhe. Balozi Charlotta licha ya kusaini kitabu cha wageni, amafanya makubalino na Mhe. Makonda akimuahidi kuendeleza mahusiano ya muda mrefu yaliyopo kati ya pande hizo mbili hasa katika kuwanufaisha wananchi wa pande hizo mbili kisekta.



Balozi Charlotta yuko mkoani Arusha akiwa ameambatana na wadau wa Shirika la Kimataifa kutoka Umoja wa Ulaya linalofadhili miradi ya Elimu (GPE) kwa lengo la kukagua utekelezaji na maendeleo ya miradi hiyo,  iliyogharimu zaidi ya Bilioni 4 kwaajili ya kusaidia maendeleo ya sekta ya elimu katila mkoa wa Arusha



Hata hivyo Mhe. Makonda ameahidi kuhakikisha kuwa miradi hiyo inafanya kazi kama ilivyotarajiwa ya kuhakikisha wanafunzi wanasoma kwenye miundombinu bora na rafiki muda wote ili kurahisisha tendo la kufundisha na kujifunzia.



Awali, GPE inaongozwa na Mwenyekiti wa bodi na Rais Mstaafu wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete linatoa ufadhili wa elimu kwa wadau mbalimbali katika kuimarisha mifumo bora ya elimu kwa nchi zaidi ya 89 ikiwemo Tanzania, ambapo huyaweka pamoja mataifa yanayoendelea, wafadhili, mashirika ya kimataifa na sekta binafsi na Umma ili kusaidia uboreshaji wa Elimu kote duniani.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa