• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RAS MASSAILE AWAFUNDA WATUMISHI MERU DC

Posted on: October 12th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Katibu Tawala mkoa wa Arusha Massaile Albano Musa amewafunda watumishi wa halmashauri ya Meru kwa kuwaagiza kufanya kazi kwa ushirikiano kama timu katika kuwahudumia wananchi kwa kuepuka vitendo vilivyo kinyume na maadili ili kufikia malengo ya serikali ya awamu ya sita.


Katibu Massaile amezungumza na watumishi hao, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kusikiliza kero za watumishi, kikao  kilichofanyika  kwenye ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo ya Meru.


Amesema kuwa watumishi wa Umma ndio injini ya serikali, wanaotegemewa kufanya kazi walizokasimiwa za kutoa huduma bora kwa wananchi kwa maendeleo ya Taifa la Tanzania hivyo kila mtu kwa nafasi na taaluma yake anatakiwa kutimiza wajibu wake.


"Niwapongeze watumishi wa halmashauri ya Meru kwa kazi nzuri, mnafanya kazi nzuri na zinaonekana ingawa bado kuna maeneo ambayo bado hamjafikia malengo, niwasihi muongeze bidii kwa kujipanga upya kwa kufanya kazi kama timu kwa kuheshimiana na kupendana kila mmoja kumthami mwenzake"


Aidha amewakanya watumishi hao kujiepusha na vitendo vya utovu wa nidhamu, vitendo ambavyo ni kinyume na maadili ya utumishi wa Umma na kuvitaja vitendo hivyo kuwa ni rushwa, majungu, ulevi na aina zote za vitendo viovu.


Hata hivyo watumishi wa halmashauri ya Meru licha ya kuupongeza uongozi wa halmashauri yao na mkoa kwa kutatua kero za watumishi kwa asilimia kubwa sasa tofauti na miaka ya nyuma.


Afisa Mkaguzi wa Ndani CPA. Wamilika Mlangi ameweka wazi kuwa, sio kwamba watumishi hawana kero ila kwa sasa kero zao zinafanyiwa kazi na kutatuliwa kwa wakati jambo ambalo linawapa ari ya kufanya kazi kwa bidii.


"Tukisema hatuna kero, tutakuwa waongo, kero tunazo lakini viongozi wetu wa halmashauri wanazitatua kwa wakati, binafsi nilikuwa na changamoto ya kubadilishiwa muundo tangu mwaka 2012 lakini kwa sasa iko sehemu nzuri inashughulikiwa" Amesema CPA Wamilika


#KaziInaendelea

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa