• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

MHE. MCHENGERWA; ARUSHA DC ZINGATIENI VIGEZO VYA KUWA MJI

Posted on: October 4th, 2024


@ortamisemi 



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa amewaelekeza viongozi wa Halmashauri ya Arusha kupitia Mkuu wa wilaya ya Arumeru na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha,  kuzingatia vigezo vilivyowekwa kisheria ili kupandisha hadhi Mamlaka ya Mji mdogo kuwa Mamlaka ya Mji.



Mhe. Mchengerwa ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi kwenye Halmashauri hiyo ya kukagua shuguli za utekzlzaji wa miradi ya maendeleo pamoja na kuzungumza na viongozi na wannachi wa halmashauri hiyo Oktoba 02, 2024.



Amesema, "Nimepokea ombi lenu la kutaka kuanzisha Mamlaka ya Mji na hatimaye kuwa na Manispaa huko mbeleni lakini ninachoweza kuwashauri kwa sasa ni kuwa zingatieni vigezo na sifa za Halmashauri ya Mji na mkijitathimini kama mmekidhi wasilisheni mapendekezo hayo Ofisi ya Rais -TAMISEMI kwa ajili ya hatua zaidi"



“Kuwa na mamlaka ya mji mdogo sio kitu ninachopendekeza sana kwa sababu kwanza inahitaji kulelewa na Halmashauri ya Wilaya hivyo katika mapato yenu mtatoa fedha kwa ajili ya kuendesha mamlaka ya mji mdogo na kwenda kuwa Manispaa mtakua mmevuka hatua ya kuwa Mamlaka ya Mji kama mnadhani mna sifa hizo wasilisheni maombi yenu yakiwa yamepita kwenye vikao vyote muhimu na yakifika Ofisi ya Rais - TAMISEMI tutayachambua kama mmekidhi vigezo mtapa hadhi ya Mji, »amesema.



Aidha ameongeza kuwa changamoto zilizowasilishwa amezipokea hususan ikiwamo ya miundombinu ya barabara za lami na kuahidi kufanyia kazi.



Waziri Mchengerwa yupo kwenye ziara ya Kikazi mkoani Arusha na atatembelea Halmashauri ya Wilaya ya Arusha, Meru pamoja na Jiji la Arusha.


Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.