• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

MHE. RAIS AWATUNUKU MAAFISA WANAFUNZI 62 WA SHAHADA YA SAYANSI YA KIJESHI -TMA MONDULI

Posted on: November 18th, 2023

Na Elinipa Lupembe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwatunuku Maafisa Wanafunzi 62 wa Kundi la 04/ 20 Shahada ya Sayansi ya Kijeshi ya Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi(TMA) Monduli Mkoani Arusha katika Mahafali ya nne tarehe 18 Novemba 2023 pamoja na kuwapa zawadi kwa Maafisa wanafunzi wawili, waliofanya vizuri zaidi kwa kundi hilo.

Maafisa Wanafunzi hao wamekuwa Maafisa wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), ambao Maafisa wapya kundi la 04/20 - BMC ni 62 wamepata mafunzo katika chuo hicho kwa muda wa miaka mitatu na kuhitimu Shahada ya Sayansi ya KKijeshi

"Nimetunuku  Kamisheni kwa Maafisa wanafunzi Kundi la 04/20 - Shahada ya Sayansi ya Kijeshi na Kundi la 70/22 (Regular) kwa Cheo cha Luteni Usu"

Aidha Amiri Jeshi Mkuu, amebainisha kufarijika zaidi kwa kuona Jeshi la Wanachi Tanzania,  likiendelea kupiga hatua kubwa za kimaendeleo na uwekezaji katika Taaluma ya Sayansi ya Kijeshi pamoja na Rasilimali watu.

"Weledi, nidhamu, uzalendo, unaongezeka siku hadi siku zinatupeleka katika hatua bora zaidi kwa faida ya Taifa letu tangu kuanzishwa kwa Jeshi la Wananchi  Tanzania  tarehe 01 Septemba, 1964, ni faraja na fahari kwa nchi yetu" Ameweka wazi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Samia Suluhu Hassan

Kabla ya kutunuku mafunzo hayo, Mhe. Rais amekagua gwaride la heshima, lililoandaliwa na Maafisa Wanafunzi hao kutokana na Maelekezo ya Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli Brigedia Jenerali Jackson Jairos Mwaseba na kusimamiwa na Mkufunzi Mkuu Kanali Nilinda William Duguza.

Hata hivyo Mkuu huyo wa chuo, alitoa taarifa fupi ya mafunzo ya Maafisa hao wapya, amesema kuwa, chuo kinajivunia kwa mara ya kwanza kimewezesha mafunzo ya Shahada hiyo kwa kujisimamia pasipo ushirikiano wa kimafunzo na chuo cha Uhasibu Arusha IAA kama ilivyokuwa hapo awali 


Awali sherehe hizo za Maafali zilimefanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli (Tanzania Millitary Academy – TMA) Mkoani Arusha, zikihudhuriwa na vongozi mbalimbali wa Kijeshi, viongozi wa Chama na Serikali, wageni waalikwa ndani na nje ya nchi, zilizosheheni burudani zilizowavutia watu wote.







Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.