• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC MAKONDA AAGIZA POLISI  KUTOSIMAMISHA MAGARI YA UTALII BARABARANI

Posted on: June 8th, 2024

 Na Elinipa Lupembe

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amemuagiza Mkuu wa Polisi wa Usalama Barabarani Mkoani humo, kutokuyakamata magari ya Utalii yakiwa yamebeba wageni, badala yake ukaguzi wa magari hayo ufanyike kabla ya kupakia watalii na ufanyike kwenye mipaka na viwanja vya ndege vinavyotumiwa na watalii.

Mhe.Makonda ametaoa maagizo hayo wakati akizungumza waandishi wa habari  kwenye Viwanja vya Magereza Kisongo, wakati wa maonesho ya kimataifa ya Utalii ya Karibu - Kili Fair 2024, Juni 08, 2024, maonesho yaliyojumuisha makampuni zaidi ya 460 ya kimataifa kutoka kwenye mataifa zaidi ya 50.

Amesisitiza kuwa, nivema Jeshi la Usalama Barabarani kuwa na utaratibu wa kufanya ukaguzi wa magari ya utalii kabla wageni hawajapanda, ili kuruhusu magari hayo kufanya safari zao bila kusimamishwa na kubughudhiwa na Askari wawapo barabarani, na kuagiza kutokusimamisha magari hayo yakiwa yamebeba watalii.

"Kwa kufanya hivyo kutasaidia kutowapotezea muda watalii wawapo njiani suala ambalo litawapa muda zaidi wa kuwepo kwenye hifadhi za utalii na sehemu nyingine, pamoja na kuwaongeza muda wa matumizi ya fedha,bidhaa na huduma nyingine zinazopatikana Arusha na hivyo kuingizia mkoa fedha nyingi zaidi za kigeni".Amesisitiza Mkuu huyo wa Mkoa

Hata hivyo Mhe. Makonda ametoa miezi miwili kwa wamiliki wa Teksi zinazotumika kubeba wageni na watalii wa Mkoa humo kuwa na rangi maalumu za kufanana, kuwarahisishia watalii kuyatambua na kulifahamu gari husika na kwa usalama zaidi kwa wageni wanapoamua kutumia aina hiyo ya usafiri wawapo Arusha.

Awali, amekiri kuendelea kuunga mkono jitihada za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan za kuvitangaza vivutio vya Utalii vinavyopatikana Tanzania pamoja na ukarimu wa Watanzania, huku akitaka kila mwanaArusha kwenye eneo lake la kazi kuonesha ukarimu huo kwa vitendo kila wanapokuwa wanahudumia wageni. @baba_keagan
@ortamisemi
@polisi.tanzania


Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.