• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC MAKONDA AZUNGUMZA  NA WATUMISHI WA WILAYA YA LONGIDO; ASISITIZA KIPAUMBELE CHAKE NI KAZI

Posted on: May 23rd, 2024

Na Elinipa Lupembe

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda, amewasili wilaya ya Longido na kupokelewa na Mkuu wa wilaya hiyo Mhe. Marco Ng'umbi ofisini kwake mapema leo Mei 23, 2024 na kuwataka viongozi na watumushi kuwajibika na kutambua kuwa kipaumbele chake ni kazi.

Mhe. Makonda yuko wilayani Longido, ikiwa ni zara yake ya kwanza ya kikazi ya kutembelea wilaya za mkoa wa Arusha, na kukutana na viongozi wa Chama, Serikali, Jamii na Watumishi wa Wilaya hiyo na kuweka wazi kuwa, amefika wilayani humo licha ya kufanya shughuli za kikazi ni fursa yake ya kipekee ya kufahamiana pamoja na kuangalia namna ya utendaji kazi wa viongozi na watumishi katika kuhudumia wananchi.

Amewataka viongozi na  watumishi wote kutambua dhamana kubwa waliyoibeba ya kuwahudumia wananchi na kutojishahau, badala yake kuheshimu dhamana hiyo kwa kufanya kazi huku wakitambua kipaumbele chao pekee  ni kazi na si vinginevyo.

" Viongozi na Watumishi wetu wafahamu, kila mmoja kwa nafasi yake anapaswa kutambua wananchi ndio 'maboss'  wetu ambao wametuajiri na kutuweka madarakarakani, hivyo ni vema kila mtu kutekeleza majukumu yake na kuhakikisha wananchi wanahudumiwa ipasavyo" Amebainisha Mhe.Makonda

Hata hivyo, ameweka wazi matamanio yake ni kuona  wananchi wanatambusa kuwa, Serikali ya awamu ya sita chini ya Jemadari Dkt. Samia Suluhu Hassan inawathamini sana hivyo, watumishi waliopewa dhamana yananalo jukumu la kutimiza wajibu wao ndio heshima ya utumishi wa Umma.

"Mwananchi anatakiwa kujisikia fahari kuhudumiwa na Serikali yake pendwa, huku akitambua huduma za kijamii zilizoletwa na Serikali kwenye eneo lake ni kazi kubwa ya Dkt.Samia"

Amewakumbusha Waheshimiwa Madiwani kupitia Baraza lao, wanayo dhamana kubwa kwa kuwa wao ni wawakilishi wa wananchi hivyo jukumu lao ni kuhakikisha, wanashughulikia kero za wananchi kwa kuzibeba na kuziwasilisha kwenye vikao halali vya halmashauri ili ziweze kutafutiwa ufumbuzi.

"Dhamana ya uongozi mliyopewa ni kuwahudumia wananchi"

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.