• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

"TUTAENDELEA KUENZI MAZURI YA HAYATI LOWASSA"- RC MAKONDA....

Posted on: May 27th, 2024

Na Elinipa Lupembe

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amewaahidi wakazi wa Monduli kwamba Serikali ya Mkoa itahakikisha inatimiza maono ya Waziri Mkuu mstaafu Hayati Edward Ngoyai Lowassa aliyefariki dunia Februari 10, 2024 wakati akipatiwa matibabu kwenye Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete.

Mkuu wa Mkoa Mhe. Paul Christian Makonda ametoa ahadi hiyo mapema leo Mei 27, 2024 wakati alipofika Kijijini Monduli, nyumbani kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa na kuzuru kaburi lake kumuombea kheri na pumziko jema wakati akiendelea na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo wilayani humo.

Mhe. Paul Christian Makonda ameiombea familia ya Waziri Mkuu huyo kuwa Mwenyenzi Mungu aendelee kuwapa subira, uvumilivu na kuwajalia mwanzo mpya wa maisha bila ya Mzee Lowassa, akimtaja kama kiongozi aliyeacha alama nyingi kwa wana Arusha na Watanzania wote kwa Ujumla.

Mhe. Paul Christian Makonda amemtaja Hayati Edward Ngoyai Lowassa kama kiongozi mwenye uthubutu na uchapakazi wa hali ya juu kwenye nafasi zake mbalimbali alizowahi kuzitumikia, akiwa pia kiongozi mwenye kusimamia alichokiamini mara zote katika kipindi cha uhai wake.

"Uthubutu wake ukawe alama na kumbukumbu ya kutosha katika kuwapigania wananchi hasa wanyonge bila kujali gharama inayoweza kutokea katika mapambano ya kudai haki", ameongeza Mhe. Paul Makonda.

Enzi za uhai wake Hayati Edward Ngoyai Lowassa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kati ya Mwaka 2005-2008, anakumbukwa na Watanzania wengi katika maono yake ya kukuza elimu kwa watoto wa maskini ili kupambana na umaskini, haki ya maji safi na salama kwa watanzania wote pamoja na kukuza demokrasia nchini Tanzania.


Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.