• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

TWENDENI TUKASIMAMIE MIRADI YA MAJI

Posted on: November 25th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongella amewataka viongozi wa Mkoa Arusha wakiwemo wakuu wa Wilaya,wenyeviti wa Halmashauri  na watendaji wote kusimamia miradi ya Maji ili ikamilike ndani ya muda uliopangwa.

Maagizo hayo ameyatoa katika kikao kazi cha wadau wa maji wa Mkoa wa Arusha.

"Ili miradi hii iweze kukamilika inaitaji ushirikiano wa ngazi zote na wananchi watapata Maji kwa wakati".

Dhima ya Serikali ni kuhakikisha Maji mijini yanapatikana kwa asilimia 95 na Vijijini asimilia 85  ifikapo 2025, ndio maana fedha nyingi zimeletwa kwenye miradi hii.

Amesema wajibu wa viongozi ni kuhakikisha Maji yanawafikia wananchi kwa wingi.

Nae, Meneja anaesimamia vyombo vya watoa huduma za Maji ngazi ya jamii ambae amemwakilisha Meneja Mkuu wa RUWASA,bi Valentine Masanja amewaomba viongozi wa Mkoa wa Arusha kuwahamisisha wananchi wachangie  bili za Maji ili miradi mingi iweze kuanzishwa na huduma za Maji kuwafikia wananchi.

Mhandisi Emmanuel Makaidi amesema maelekezo yote yaliyotolewa  wanaenda kuyafanyia kazi ili kuhakikisha wananchi wa Mkoa wa Arusha wanapata Maji ya kutosha.

Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe. Frank Mwaisumbe kwa niaba ya wakuu wa Wilaya wote amependekeza miradi mikubwa ya Maji ndio itatatua changamoto ya Maji kwa kiasi kikubwa hasa kwa Jamii za wafugaji kuliko miradi midogo inayowafikia wananchi wachache.



Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.