• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

VIONGOZI WA MKOA WA ARUSHA WAPATA ELIMU YA UWANDAAJI DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050

Posted on: July 25th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amewataka wananchi wa Mkoa wa Arusha kujitokeza kwa wingi pindi itakapofika muda wakutoa maoni ya dira ya Taifa ya maendeleo ya 2050.

Kauli hiyo ameitoa wakatika akifungua kikao maalumu cha uelimishaji wa uwandaaji wa dira ya Taifa ya maendeleo kwa mwaka 2050.

Amesema dira kazi yake kubwa nikuonesha wapi unakwenda na utakwendaje na unatarajia kufika lini.

"Kukosa dira nisawasawa na mtu ambae hajui anaelekea wapi na mtu kama huyu huwa hawezi kupotea maana anakuwa hajui wapi anaenda atakapochoka ndio atakuwa amefika".

Jukumu letu sisi viongozi kwanza, nikujenga uwelewa wa dira hii ya 2050 na kisha tutoke kwenda kwa wananchi na wale wote tunaowaongoza  chini yetu kuwaelimisha na kuwahamasisha.

Mongella amesema, dira ya sasa inaelekea ukingoni ifikapo 2025 na mabadiliko makubwa tumeyaona katika nchi yetu kupitia sekta mbalimbali kama uchumi, afya, maji, umeme, elimu na miundombinu ikiboreshwa kila leo.

Kwa upande wake, mwenyekiti wa timu ya uandishi wa  dira ya Taifa ya maendeleo 2050 Gladness Salema amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni sikivu na akaona nivizuri asikilize wananchi wake wanataka nchi ielekee wapi kupitia mpango huu wa dira ya Taifa ya maendeleo 2050.

Vilevile, amewataka viongozi wa kisiasa  washiriki kikamilifu katika zoezi hili la kihamasisha wananchi wachangie maoni ya dira ya Taifa 2050 ili waseme wanataka Tanzania ya namna gani.

Gladness amesema zama za manung'uniko na malalamiko zimepitwa ni wakati sasa wa kila mtu kusema anataka Tanzania ya namna gani.

Nae, Mjumbe wa timu uandishi wa dira ya Taifa ya maendeleo 2050 Sostenes Kewe amesema dira hii itaenda kutuunganisha wananchi wote kwani tutaweza kusema tunataka Tanzania ya namna gani.

Amesema, dira hii niyamiaka 25 hivyo itajikita kuonesha mabadiliko ya mazingira, vipaombele vya muda refu, itaweza kuonesha mwelekeo wa nchi, itaendeleza mafanikio ya dira 2025.

Kikao kazi cha dira ya Taifa ya maendeleo 2050 kimefanyika katika ngazi ya Mkoa wa Arusha na kujuisha viongozi mbalimbali wa serikali, vyama vya siasa na viongozi wa dini kwa lengo la kujengewa uelewa wa dhana nzima ya dira na namna watakavyoshiriki katika kujenga uwelewa kwa wananchi.










Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.