• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

WATUMISHI WA UMMA WAMETAKIWA KUWA NA MAZOEA YAKUPIMA AFYA ZAO

Posted on: August 14th, 2023

Watumishi wa Umma wametakiwa kuwa na kawaida ya kupima Afya zao, kufanya mazoezi, kuepuka misuguano isiyo ya lazima mahala pa kazi pamoja na migogoro ya kifamilia ambayo imeonekana ndiyo kiini kikubwa cha msongo wa mawazo ambapo hupelekea kushusha ufanisi wa utendaji kazi Serikalini.

Hayo yamesemwa na John Mongella,Mkuu wa Mkoa wa Arusha wakati akichangia mada ya Uongozi Binafsi na Akili Hisia katika Mafunzo kazi ya Viongozi wa Mkoa wa Arusha yanayoendelea katika Hotel ya The Retreat At Ngorongoro iliyopo Wilayani Karatu.

Mongella amesema ili kuwa Taasisi imara sharti watu wake wakawa na afya njema ya kiakili pamoja na utimamu wa kimwili kwani vitu hivyo ndiyo msingi wa utendaji kazi mzuri na kuwataka Watumishi kuepuka kujiingiza katika tabia zinazochangia msongo wa mawazo ikiwemo misuguano isiyo ya lazima mahala pa kazi, migogoro ya ndoa, tamaa ya kupata mali harakaraka na madaraka pamoja na ulevi uliyokithiri.

Aidha,katika mafunzo hayo Viongozi washiriki wamepata fursa ya kujifunza na kutafakari mambo mbalimbali ya kiuongozi ikiwemo namna ya kukabiliana na changamoto za msongo wa mawazo mahali pa kazi na katika familia,namna ya kutumia vizuri rasilimali watu ili kuleta matokea chanya ya kiutendaji na pia namna ya kufanya kazi umoja na mshikamano.

Mafunzo hayo ya siku nne yana lengo la kuwajengea uwezo wa kiutendaji Viongozi wa Mkoa wa Arusha yamejumuisha Viongozi wa kada mbalimbali akiwemo Mkuu wa Mkoa,Katibu Tawala Mkoa,Wakuu wa Wilaya,Wakuu wa Seksheni na Vitengo toka Sekretariati ya Mkoa, Makatibu Tawala Wilaya,Meya wa Jiji la Arusha na Wenyeviti wa Halmashauri, Wakurugenzi wa Halmashauri,Wakuu wa Taasisi za Umma Mkoa wa Arusha pamoja na Wakuu wa Seksheni na Vitengo toka Halmashauri ambapo mafunzo hayo yalifunguliwa jana tarehe 13/08/2023 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Anjella Kairuki.

Mada hizo za Uongozi Binafsi na Akili Hisia zimetolewa na Bi.Zuhuru Muro mkufunzi toka Uongozi Institute pamoja na Dkt.Garvin Kweka toka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.



Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.