• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

WAKUU WA WILAYA ZA MKOA WA ARUSHA WATAKIWA KUANDAA MKAKATI WA KUHAMASISHA UTALII

Posted on: May 24th, 2024

Na Elinipa Lupembe

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.Paul Christian Makonda amewaagiza Wakuu wa Wilaya za mkoa huo kuandaa Mpango Mkakati wa kuhamasisha Utalii katika maeneo yao.

Mhe. Makonda ametoa agizo hilo wakati akizungumza na  viongozi na watumishi wa wilaya ya Karatu, mara baada ya kupokea taarifa ya wilaya hiyo, iliyowasilishwa na Mkuu wa wilaya Mhe. Dadi Horace Kolimba, kikao kilichofanyika kabla ya kuanza ziara kwenye wilaya hiyo.

Amesema kuwa kila halmashauri ya wilaya inatakiwa kuandaa Mpango Mkakati wa kuhamasisha Utalii ikiwa ni pamoja na kuandaa Kanzi Data (data base), itakayoonesha vivutio vya utalii vilivyopo, idadi ya hoteli na hadhi zake pamoja na maeneo ya uwekezaji yanqyopatikana kwenye halmasahuri zote ili kuwa na uelewa wa pamoja, sambamba na kurahisisha watalii wa ndani na nje ya nchi na wawekezaji  kuzifahamu fursa hizo kabla ya kufika nchini.

Aidha, Mhe.  Makonda amefafanua kuwa uwepo wa Kanzi Data hizo  utawezesha wawekezaji na watalii kujua fursa zinazopatikana mkoani Arusha,  aina ya vivutio vya utalii, kambi za utalii na hoteli zilizopo,fursa za kilimo na biashara ambazo zitawezesha kila mmoja kunufaika pamoja na kuwarahisishia wawekezaji kufanya maamuzi wakiwa kwao lakini zaidi itafungua milango ya kiuchumi ya mtu mmoja mmoja, mkoa na Taifa.


"Ninatamani kila mwanarusha kuufahamu Utalii vizuri na kila mmoja kwa nafasi yake kuunga mkono juhudi kubwa zilizofanywa na Mhe. Rais Dkt. Samia Hassan Suluhu katika kutangaza fursa za utalii na vivutio vyake kupitia programu ya Royal Tour na Amazing iliyozinduliwa hivi karibuni nchini China, tukiufahamu Utalii tutazifahau fursa zake na kila mmoja atanufaika nazo kwa nafasi yake". Amesisitiza Mhe. Makonda


"Lazima tuwe na 'Data base' kwaajili ya wageni kujua idadi ya hoteli, kampuni za utalii aina za uwekezaji, fursa za biashara na kilimo ili wageni na wawekezaji wanaofika nchini wapate taarifa kupitia mfumo ili kuwezesha uchumi kukua" Amesema


Awali, Mhe. Kolimba amesema kuwa, wilaya hiyo ina jumla ya hoteli 74 na kambi za utalii 91 zinazosababisha wageni wanaotembelea Hifadhi ya Ngorongoro na kulala Karatu.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.