• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUJENGA ZAHANATI

Posted on: July 24th, 2024


Na Elinipa Lupembe 


Zaidi ya wananchi 4,210 wa kijiji cha Kilima Moja kata ya Rotia wilaya ya Karatu,  wameishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt.Samia Suluhu Hassan, kwa kuwasaidi kukamilisha ujenzi wa zahanati na kuweza kupata huduma bora za afya karibu,  ikiwemo huduma za kinamama na mtoto sanjari na kuwapunguzia umbali kutembea umbali mrefu kutafuta huduma hiyo.


Wametoa shukrani hizo, wakati Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndugu Godfrey Eliakimu Mnzava, alipofika kijijini hapo, kwaajili kukagua na kuwekaji wa Jiwe la msingi katika zahanati hiyo.


Christina Jakebi mkazi wa kijiji cha Kilimamoja, amekiri kijiji hicho kwa na changamoto ya muda ya mrefu ya upatikanaji wa huduma za afya hali iliyowasababisha kufuata huduma za afya kwenye hospital ya Kanisa la Lutheran  huku wajawazito wakijifungulia nyumbani na wengine njiani kutokana na umbali.


Christina ameshukuru uwepo wa zahanati hiyo, ambayo wanatarajia kupata huduma kwa ukaribu, hasa wakati wa usiku kwa wanawake wanaotaka kujifungua.


"Tunashukuru uwepo wa zahanati kijijini kwetu,  tunaomba ujenzi umalizike mapema ili huduma za afya zianze kutolewa kituoni, sababu Rais Samia Hassan Suluhu amedhamiria kuboresha huduma za afya kwa wa wananchi "


Naye Kiongozi wa mbio za mwenge uhuru Kitaifa, Godfrey Mnzava alisema  zahanati hiyo itasaidia wananchi kupata huduma za afya na kuwaagiza wakamilishe mradi  kwa wakati ili huduma za afya zianze kutolewa .


Amewasihi wananchi kujitokeza katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kuwa n8  uchaguzi muhimu ambapo viongozi mbalimbali wa Serikali wanachaguliwa na kuagiza wananchi wenye sifa za kugombea nafasi hizo hususaniwanawake na vijana. 


"Niwasihi wananchi mjitokeze kusikiliza Sera za kila Chama na hatimaye kuchagua viongozi bora ikiwemo mapambano dhidi ya ugonjwa wa Malaria pamoja na kupambana na Rushwa na dawa za kulevya.


Akiwasilisha taarifa ya mradi, Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kilima Moja, Samwel Paulo amesema ujenzi huo ulianza mwaka 2019 kwa nguvu za wananchi wakijichangisha shilingi milioni 19 na hatimaye Serikali Kuu kuongeza milioni 50 na kufikia jumla ya milioni  69 .44.


Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • SIKU YA KWANZA; WAKAZI WA ARUSHA WAJITOKEZA KWENYE KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA MABINGWA WABOBEZI

    June 23, 2025
  • RC MAKONDA ASHIRIKI MARATHON YA KKKT 2025

    June 21, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.